• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Sport, Culture and Arts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Waziri wa TAMISEMI,aagiza Halmashauri kuweka Mpango na Bajeti ya kujenga na kuboresha Miundombinu ya Hospitali ya Wilaya.

Imewekwa : December 14th, 2017

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI Mhe,Suleiman Jafo ameiagiza Menejimenti ya Halmashauri ya Misungwi kuweka Mpango wa Bajeti ya Fedha kwa mwaka 2018/2019 kwa ajili ya Ujenzi na kuboresha miundombinu katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi ili kuongeza na kuimarisha utoaji wa huduma za Afya kwa Wananchi Wilayani humu.

Mhe,Jaffo ametoa agizo hilo wakati wa Ziara ya kikazi aliyoifanya Wilayani humu kwa lengo la kuongea na Watumishi pamoja na kukagua Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwaWilayani Misungwi ambapo ameweza kutembelea katika Hospitali ya Wilaya na katika Shule ya Sekondari ya Misasi na kuona hali halisi ya miundombinu iliyopo katika maeneo hayo.


Pichani Juu ni Mhe, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,TAMISEMI Selemani Jafo akikagua Miundombinu katika Jengo la Maabara iliyokamilika katika Shule ya Sekondari Misasi.


                                                  

 Mhe, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,TAMISEMI, Selemani Jafo akisikiliza maelezo na ufafanuzi wa mikakati ya ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya Sekta ya Elimu kutoka kwa Afisa Elimu Wilaya ya Misungwi,Bi,Dianah Kuboja (Kulia )wakati alipotembelea katika Shule ya Sekondari Misasi.

Waziri Jafo ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kuandaa Mikakati na kuweka mpango katika Bajeti ya mwaka 2018/2019 ya kujenga na kuboresha miundombinu ya Hospitali ikiwemo Ujenzi wa Jengo la Upasuaji,ujenzi wa Wodi ya akina Mama pamoja na Jengo la kuhifadhia Maiti(Mortuary)aliagiza haya mara baada ya kutembelea katika Hospitali hiyo ambapo akabaini baadhi ya changamoto za kutokuwa na majengo yanayokidhi matakwa ya utoaji wa huduma za afya katika ubora na uhakika na yanayovutia katika utendaji kazi wa Wataalam wa Afya.


Waziri wa Nchi Ofis ya Rais,TAMISEMI Mhe,Selemani Jafo akimuuliza maswali Mganga Mfawidhi wa Hospitali Bi. Macelina Kiemi kuhusu utoaji wa huduma ya malipo kwa Wagonjwa kwa kutumia Mfumo wa Kielekroniki katika Dirisha la Mapokezi kwenye Hospitali ya Wilaya ya Misungwi ambapo kwa Takwimu zinaonyesha kwamba makusanyo kwa mwezi yanafikia Tsh,Milioni 4.

Waziri Jafo alipongeza juhudi za Halmashauri hiyo kupitia kwa Afisa Elimu wa Sekondari kwa kuinua kiwango na ubora wa Taaluma katika Shule ya Sekondari ya Misasi ambayo imepata ufaulu wa daraja la kwanza Wanafunzi 7 na kupeleka Wanafunzi 40  kidato cha Tano kati ya Wanafunzi 100 waliofaulu Shuleni hapo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA ACSEE MWAKA 2025 July 07, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi Mhe. Johari Samizi ahamasisha Ujenzi wa Zahanati Mpya Kufuatia Kuhalibiwa na Mvua Zahanati Iliyokuwepo.

    November 15, 2025
  • DC Misungwi awahamasisha Wananchi kujitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa amani na utulivu

    October 27, 2025
  • DC Misungwi amewataka Wananchi kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu na kuepuka kujichukulia sheria mkononi na kuendelea kutoa ushirikiano kwa Kamati ya usalma

    September 20, 2025
  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.