• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mifugo na Uvuvi


IDARA YA MIFUGO NA UVUVI                          

UTANGULIZI.

Halmashauri ya Misungwi ni moja kati ya  Halmashauri nane (8) zilizoko katika Mkoa wa Mwanza,nyingine ni  Ilemela municipality,Nyamagana municipality, Magu DC, Kwimba DC,Ukerewe DC,Buchosa DC na Sengerema DC.

Wilaya ina ukubwa wa eneo la km22,553, kati ya hizo km22,378 ni eneo la nchi kavu na km2 175 ni eneo la maji ya ziwa Victoria

Kwa mujibu ya sensa ya mwaka 2012 idadi ya watu ni 351,607 na 80% kati ya hao wanajishughulisha na kilimo na Ufugaji, 5% Uvuvi na iliyobaki ni shughuli nyinginezo. Wilaya iko nusu jangwa (semi arid) na ina mvua za vuli na masika(Bimodal rainfalls)kiasi cha 700mm hadi 1000mm kwa mwaka

Kilimo na Ufugaji ni shughuli kuu ya kiuchumi na karibu kila kaya wanamiliki mifugo

Idadi ya Mifugo Baada ya zoezi la utambuzi na usajili wa mifugo ni kama ifuaatavyo;

  • Ng’ombe                                188,215
  • Ng’ombe wa Maziwa                    104
  • Mbuzi                                         58,845
  • Kondoo                                       27,284
  • Nguruwe                                       1,222
  • Kuku wa asili                                78,421
  • Kuku  wa Mayai                             24,800
  • Mbwa                                             11,326
  • Punda                                                2,465

Miundo mbinu ya mifugo/Uvuvi ni kama ifuatavyo;

AINA

ILIYOPO

INAYOFANYA KAZI

ISIYOFANYA KAZI

Majosho

45

32

13

Minada

3

3

0

Vituo vya mifugo (Night camps)

1

1

1

Machinjio (Slaughter House)

1

1

0

Machinjio ndogo (Slaughter Slabs)

3

3

0

Makaro ya kuchinjia

6

6

0

Mabanda ya kukaushia ngozi

5

5

0

Vibanio (Cattle crushes)

22

20

2

Malambo

12

12

0

Kliniki za Mifugo –LDCs

6

6

6

Visima virefu

17

17

0

Visima vifupi

5

5

0

Mabirika ya maji (Water Troughs)

3

3

0

Mashamba ya Mifugo (Ng’ombe,Mbuzi)

1

1

0

Mashamba ya Mifugo (kuku)

3

3

0

Vituo vya uhamishaji (AI Centres)

2

2

0

Viwanda vya kuchakata Mazao ya Mifugo(Nyama)

1

1

0

Vibanio (Cattle crushes)

22

20

2

Mabwawa ya samaki (Fish Ponds)

123

110

13

Mialo  (Fishing Landing Sites)

19

10

9

Vituo vya kuzalisha Vifaranga

3

2

1

Vituo vya kuzalisha mbawa kavu

5

4

1

BMU

10

10

10

Utangulizi

Idara ya Mifugo na Uvuvi ni miongoni mwa Idara muhimu za Halmashauri ya Misungwi. Idara hii inafanya kazi zake kwa kuakisi Dira na dhima ya Halmashauri yaMisungwi  ambayo nia yake kuu ni kuinua maisha ya wananchi kwa kutoa huduma bora na kuinua uchumi wa wananchi katika Wilaya na Taifa kwa ujumla.

Idara hii imeundwa na vitengo vinane ambavyo ni:

• Meat hygiene and inspection

• Hides and skin

• DSMS Animal health and Disease control

• DSMS livestock marketing Identification, Regisration and Traceability

• Fishery production                                                                                                                                                                                     • DSMS Dairy husbandry and Animal production

• DSMS Livestock extension

Kazi za Idara ya Mifugo na Uvuvi

Miongoni mwa kazi za Idara ya Mifugo na Uvuvi ni kama ifuatavyo;

1. Kufanya ukaguzi wa nyama katika machinjio na makaro ya kuchinjia ili kudhibiti magonjwa ya mifugo kwenda kwa binadamu (zoonosis )na kudhibiti nyama zisizo na ubora.

2. Kuwajengea uwezo wafugaji juu ya ufugaji bora,

3. Kuboresha miundo mbinu ya Mifugo na Samaki kwenye kata husika,

4. Kusimamia kanuni za ufugaji bora ili kuhakikisha kuwa wafugaji wanazalisha kwa tija ukilinganisha na mifugo na maeneo waliyonayo.

5. Ukusanyaji wa mapato yatokanayo  na Mifugo na Uvuvi (K,V Mialo.Machinjio,Leseni ya vyombo vya uvuvi na wavuvi,minada nk).

6. Kuboresha Mifugo,Samaki na mazao yake kwenye maeneo husika,

7. Kutoa elimu ya ugani kwa wafugaji wa Mifugo na samaki,

8. Kutoa huduma ya chanjo za Mifugo na matibabu,

9. Kuboresha miundo mbinu ya Mifugo na Uvuvi kwenye Kata husika,

10. Kusimamia sheria na kanuni za Mifugo na Uvuvi

MALENGO YA IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

Lengo kubwa ni kuhakikisha wafugaji wanapata Elimu ya ufugaji bora wa kisasa na wenye tija kwa nia ya kumfanya mfugaji aongeze kipato ili aondokane na umaskini uliokithiri lakini pia kuongeza pato la Taifa.

VITENGO VYA IDARA NA MAJUKUMU YAKE

  • KITENGO CHA MIFUGO
  • kutoa elimu, ushauri, huduma za kinga/tiba na uzalishaji wa malisho bora ya mifugo
  • Kufanya tafiti za magonjwa ya mifugo kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali kama vile Kituo cha uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo kanda ya Ziwa (ZVIC) Mwanza
  • Kuhakikisha usalama wa nyama kwa matumizi ya binadamu
  • Kujenga miundombinu rafiki kwa wafugaji kama vile Majosho,Machinjio,na Malambo
  • Kudhibiti mifugo inayoingia na kutoka ili kuepuka magonjwa ya milipuko na migogoro kati ya wakulima na wafugaji
  • Kuunda vikundi vya wafugaji ili kuwafikishia huduma za ugani wa shughuli za mifugo kwa urahisi
  • Kusimamia miongozo mbalimbali na sera katika sekta ya Mifugo
  • Kusimamia matumizi ya raslimali za kitengo cha mifugo
  • Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Mifugo za kila mwezi, robo mwaka na mwaka na kuziwasilisha kwenye mamlaka zinazohusika
  • Kufanya usajili na utambuzi wa mifugo na wafugaji ili kubaini idadi kamili ya mifugo na wafugaji katika wilaya
  • Kuanzisha minada mipya kwa kufuata miongozo, taratibu na sheria zilizopo ili Halmashauri iweze kuongeza mapato ya ndani na wafugaji kuvuna mifugo yao kwa urahisi
  • KITENGO CHA UVUVI
  • Kusimamia, kudhibiti na kuendeleza tasnia ya uvuvi kwa jamii ya wavuvi
  • Kuratibu maendeleo ya siku kwa siku ya teknolojia ya uvuvi ili kuwa na uvuvi endelevu
  • Kusimamia raslimali za uvuvi
  • Kutoa Elimu ya ufugaji bora wa samaki
  • Kubuni njia ya kuinua sekta ya uvuvi ili kuchangia pato la wilaya na pato la taifa (GDP) kwa kusanifu miundimbinu muhimu ya uzalishaji, usafirishaji na uhifadhi wa mazao ya uvuvi ili kuvutia soko la uwekezaji.
  • Kutatua mizozo itokanayo na maslahi ya makundi mbalimbali katika matumizi ya rasilimali ya ziwa kwa kutumia misingi ya utawala bora na utii wa sharia bila shuruti

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.