• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi awahamasisha Wananchi kujitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa amani na utulivu

Imewekwa : October 27th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi amewapongeza Viongozi wa Waafisa Usafirishaji Kanda ya Misungwi Kwa namna Walivyoandaa Bonanza la Maafisa Usafirishaji Wakati akifunga Mashindano ya Maafisa usafirishaji.

Ametoa pongezi hizo Leo Tarehe 27 Oktoba 2025 ambapo amwasisitiza pia Kujitokeza kwa wingi Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tarehe 29/10/2025 kupiga kura na kurudi nyumbani kwa Amani na Utulivu.

Naye Katibu.wa bodaboda kanda ya misungwi Mjini Bw.Yohana Simoni Kiyuga ameshukuru sana ofisi ya Mkuu wa Wilaya kwa kuwaunga mkono pamoja na ushirikiano toka kuanza kwa bonanza mpaka mwisho

Bonanza hilo limeshuhudia michezo Mbalimbali ikiwemo Mpira wa Miguu ,Kukimbiza Kuku,kuimba na kucheza Mziki.

Aidha Mshindi wa Mpira wa Miguu ni Maafisa Usafirishaji Kona ya Mitindo  wameibuka na ushindi wa Magori Mawili kwa Moja dhidi ya Maafisa Usafirishaji wa Stend kwa Magori ya Emmanuel dakika ya 22 na Msonda Elisha Dakika 38 na Gori la Kufutia machozi la la Maafisa Usafirishaji stand limefungwa na Lazaro Kamala dakika ya 50 pia Katika Mashindano hayo Mchezaji bora ni Zabroni Doha

kauli mbiu ya Uchaguzi Mkuu 2025 "kura yako, Haki yako jitokeze kupiga kura"


Matangazo

  • Majina ya walioitwa kwenye usaili Wasimamizi,Wasimamizi Wasaidizi na Makarani wa vituo vya Kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2025 Jimbo la Misungwi October 13, 2025
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA VITUO October 21, 2025
  • MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA ACSEE MWAKA 2025 July 07, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awahamasisha Wananchi kujitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa amani na utulivu

    October 27, 2025
  • DC Misungwi amewataka Wananchi kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu na kuepuka kujichukulia sheria mkononi na kuendelea kutoa ushirikiano kwa Kamati ya usalma

    September 20, 2025
  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.