• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Sport, Culture and Arts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Waziri wa Maji Profesa Mbarawa amwagiza Mkandarasi wa Mradi wa Maji wa Nyahiti, Wilayani Misungwi kukamilisha Ujenzi mwezi Machi mwaka 2019.

Imewekwa : August 17th, 2018

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe,Profesa Makame Mbarawa aagiza Mkandarasi wa Ujenzi wa Mradi wa Maji wa Nyahiti Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza kukamilisha kazi ya ujenzi wa Mradi huo mwezi Machi mwaka 2019 ili kuondoa kero ya muda mrefu ya upatikanaji wa maji kwa Wananchi wa Misungwi

Waziri Mbarawa, amemtaka Mkandarasi huyo wa Kampuni ya CCECC ya China inayojenga Mradi huo, kukamilisha ujenzi mwezi Machi mwaka 2019,  wakati wa Ziara ya kikazi ya kutembelea na kukagua shughuli na maendeleo ya ujenzi huo Wilayani Misungwi na kuitaka Mamlaka ya Maji Safi Mwanza MWAUWASA kufuatilia na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mradi huo ili ukamilike kwa kiwango na kwa wakati mapema mwezi Machi mwaka 2019 badala ya mwezi Mei kwa mujibu wa Mkataba na kuzingatia makubaliano ya Mkataba.

                      Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe,Profesa Makame Mbarawa akizungumza na kuagana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe,Antony Bahebe Masele akiwa pamoja Madiwani wengine Wajumbe wa Kamati aya Fedha,Uongozi na Mipango.

Mhe,Mbarawa alisema kwamba Mradi huo utagharimu shilling Billioni 9.3 ambazo ni fedha za mkopo wa masharti nafuu na utakuwa unatoa maji safi na salama takribani lita millioni 4 na nusu kwa siku na kueleza kuwa Wananchi wa Misungwi waliokuwa wanapata maji safi na salama walikuwa ni asilimia 43 tu hivyo kulikuwa nachangamoto kubwa ya ukosefu wa maji.

     

                 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe, Profesa Makame Mbarawa akishiriki kuchimba Mtaro wa Bomba la mfumo wa Maji safi na Salama katika Mradi wa Maji wa Nyahiti Wilayani Misungwi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Juma Sweda ameishukuru Serikali kwa kupanga na kutoa fedha za kutekeleza mradi huo wa maji ambao utahudumia Wananchi wa Mji wa Misungwi na maeneo jirani na kusababisha kufikia kiwango cha upatikanaji wa maji kufikia asilimia 75 kwa Wananchi wote.

Mkuu wa Wilaya huyo ameeleza kwamba wataendelea kufuatilia kwa karibu na kutoa ushauri wa mara kwa mara kwa wasimamizi wa mradi huo na kuhakikisha unakamilika kwa wakati kulingana na makubaliano ya mkataba baina ya Mkandarasi na Serikali ili kuwezesha upatikanaji wa maji safi na salama kulingana na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya  mwaka 2015 -2020.

Matangazo

  • MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA ACSEE MWAKA 2025 July 07, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • Makala : ​Miradi ya Boost yaipaisha sekta ya Elimu Misungwi 2026

    January 09, 2026
  • DAS Misungwi awataka Waheshimiwa Madiwani kutimiza thamani waliopewa na Wananchi

    December 03, 2025
  • DC Misungwi Mhe. Johari Samizi ahamasisha Ujenzi wa Zahanati Mpya Kufuatia Kuhalibiwa na Mvua Zahanati Iliyokuwepo.

    November 15, 2025
  • DC Misungwi awahamasisha Wananchi kujitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa amani na utulivu

    October 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.