• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Waziri Kalemani aagiza Tannesco kuweka Transfoma Mgodi wa Busolwa na maeneo ya Usagara Misungwi

Imewekwa : December 31st, 2020

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani aagiza Tannesco kuhakikisha wanaweka Transforma kubwa katika Mgodi wa Busolwa Mining Group pamoja na maeneo ya Kata ya Usagara kabla ya tarehe 15 Januari mwakani.

Akizungumza katika ziara yake ya kutembelea na kukagua maeneo ya Mgodi wa Busolwa Mining Group Wilayani Misungwi  ambayo yanahitaji huduma ya umeme, Waziri Kalemani amesema kwamba ni muhimu sana kwa Wawekezaji kufanya kazi na kuendesha shughuli zao katika miundombinu bora na salama na kuagiza Shrika la Tannesco kuhakikisha wanapeleka Transforma yenye uwezo unaotakiwa katika Mgodi huo kabla ya tarehe 15 Janauri mwaka 2021 ili kuwezesha wawekezaji hao kuzalisha vizuri na kwa gharama nafuu.

Dkt, Kalemani amesema kuwa ni wakati sasa umefika ambapo maeneo ya Migodi yote nchi nzima yapitiwe na kuhakikisha wanapata miundombinu ya umeme kwa wakati ili kuwapunguzia gharama za uendeshaji kwa kutumia mafuta ya Generator na hivyo kuongeza na kuleta maendeleo.

Waziri Kalemani amesema kwamba Serikali imefanya kazi kubwa katika kusambaza umeme na kueleza kwamba kuna maeneo ambayo bado hayajapata umeme katika vijiji vya Kata ya Usagara Wilayani Misungwi kutokana na ukosefu wa Transforma na kuiagiza Tannesco Kanda ya Mwanza kuhakikisha wanaweka Transforma katika maeneo hayo mapema na kusambaza umeme kwa wakati.

Wakati huo huo Serikali itaanzisha mradi wa Vitongoji  mwezi Februari mwakani ambao utatekelezwa kwa  kuweka umeme katika Vitongoji vyote nchini kwa muda wa miezi 15, ambapo ameitaka Tannesco kukamilisha uwekaji wa umeme katika vijiji 36 vilivyobaki  vya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi katika mradi huo na kuwahakikishia Wananchi kwamba hakuna mtu atakayerukwa katika mradi huo.

Awali akiwasilisha taarifa ya Wilaya ya Misungwi, Katibu Tawala Wilaya, Petro Sabatto kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda ambaye alieleleza kwa kuishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kufanikisha kusambaza umeme katika maeneo mengi kwa Wilaya ambayo ina Kata 27 na Vijiji 114 ambapo hadi sasa ni Kata tatu tu ambazo havijaunganishwa na umeme ambazo ni Kata ya Isenengeja, Lubili na Shilalo.


Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani  (wa pili kulia) akikagua na kuona maeneo ya uwekezaji wa Madini katika Mgodi wa Madini wa Busolwa Mining group Wilayani Misungwi katika ziara hiyo aliambatana na Naibu Waziri wa Nishati Steven Byabato wa kwanza kulia wakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Busolwa Mining Group Baraka na Viongozi wengine wa Tannesco Kanda ya Mwanza.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.