• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Watoto zaidi ya 105,410 Kupatiwa Chanjo ya Surua Rubella Misungwi

Imewekwa : February 16th, 2024

Wananchi watakiwa kuondoa Hofu na kuwapeleka watoto kupata Chanjo ya Surua  Rubella iliyoanza kutolewa kwa watoto wa umri wa miezi 9 hadi miaka 5 Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Paulo Chacha  wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Utoaji Chanjo hiyo katika Kituo cha Afya cha Mitindo – Misungwi amewataka Viongozi, Watendaji pamoja na Wataalam wa Afya kutoa elimu na kuhamasisha jamii na Wazazi kuwaruhusu Watoto kujitokeza kupata Chanjo ya Surua na Rubella ili kujikinga na maambukizi ya Ugonjwa wa Surua Rubella.

Mhe, Chacha amesema kwamba katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wazazi kuogopa na kuwa na hofu ya kupatiwa Chanjo kutokana na kuelezwa mambo tofauti kuhusu Chanjo zinazotolewa ambapo amewatoa hofu na kuwaomba wawapeleke watoto katika Vituo na maeneo yaliyoandaliwa kwa ajili kupata Chanjo na amekemea Vitendo vya baadhi ya Wananchi kuamini na kupata matibabu kwa Waganga wa tiba asili waliokithiri Wilayani Misungwi.

Kwa upande wake Mratibu wa Chanjo wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Emmanuel Ntibalila amesema kwamba Halamshauri ya Misungwi kupitia Wataalam wa Idara ya Afya tayari imeenza zoezi la utoaji wa Chanjo hiyo kuanzia tarehe 15 mwezi huu na zoezi litakamilika tarehe 18 ambapo wanatarajia kutoa Chanjo kwa watoto wapatao 105,410 kwa lengo lililowekwa katika Wilaya.

Naye, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Dkt. Clement Morabu ametoa rai kwa Viongozi na Watendaji kuendelea kutoa elimu na hamasa kwa Wananchi kutumia fursa hii na kujitokeza kupata Chanjo hiyo muhimu na kwa upande wa Halmashauri ya Misungwi imeandaa Vituo 142 kwa ajili ya kutoa Chanjo ya Surua Rubella ambapo Vituo vyote 59 vya kutolea huduma za Afya pamoja na maeneo mengine 85 yameandaliwa kwa zoezi hilo la Kampeni ya Kitaifa.

Wakati huo huo, baadhi ya akina mama walioleta watoto kupata Chanjo wamesema kwamba wameona umuhimu wa kuwapatia Chanjo watoto ili kuwakinga na magonjwa hayo ya Surua Rubella mara yanapojitokeza.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe.Paulo Chacha akiwa amebeba mtoto wakati wa zoezi la utoji Chanjo ya Surua Rubella katika Hospitali ya Mitindo ambapo lengo la Kampeni hiyo kupunguza au kutokomeza tatizo la ugonjwa wa Surua Rubella kwa watoto chini umri miezi 9 hadi miaka 5.

Dc Chacha akimzawadia mtoto fedha mara baada ya kupata Chanjo ya Surua Rubella katika Hospitali ya Mitindo Misungwi ambapo aliwatoa hofu Wazazi kuhusu Chanjo hiyo.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA LA UCHAGUZI MKUU 2025 TANZANIA July 05, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA, UCHAGUZI MKUU 2025 TANZANIA July 05, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA, UCHAGUZI MKUU 2025 TANZANIA July 05, 2025
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.