• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Watahiniwa 3,274 kufanya mtihani kidato cha Nne Mwaka 2024 Misungwi.

Imewekwa : November 8th, 2024

Watahiniwa 3,274 wa Shule za Sekondari  wanatarajiwa kufanya Mtihani wa kumaliza Elimu ya Sekondari wa Kidato cha Nne mwaka 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza.

Mkutugenzi Mtendaji Halmashauri Wilaya ya Misungwi Bw, Addo Missama amesema  hatua ya ufanyaji wa Mtihani wa Kidato cha Nne maandalizi ni Mazuri ambapo zoezi la kitaifa la uendeshaji wa Mtihani wa kumaliza Elimu ya Sekondari la kufanikisha hatua ya kitaaluma  kwa Wanafunzi wa Kidato cha Nne mwaka 2024.

Bw. Addo Missama amewataka Watahiniwa hao kufanya Mtihani wao katika hali ya amani na  kuwa watulivu na kutambua kwamba Mtihani huo ni wa Taifa ambapo  amewatakia afya njema wakati wote na kuwaomba wamtangulize Mungu awasaidie, sambamba na kuwaomba wasimamizi wa Mtihani kusimamia vizuri, kulingana na maelekezo na taratibu zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania.

Aidha, katika hatua nyingine Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri Wilaya ya Misungwi Bi. Diana Kuboja ameeleza na kufafanua kwamba  jumla ya Watahiniwa 3,274  wamesajiliwa na wapo tayari kwa ajili ya kufanya Mtihani huo wa kumaliza Elimu ya Sekondari  itakayofanyika mfululizo  kuanzia tarehe 11/11/2024 hadi 21/11/2024 ambapo miongoni mwao Wavulana ni 1,566 na Wasichana ni 1,708  na tayari maandalizi ya msingi yapo vizuri hususani suala la usafiri kuelekea katika vituo 39 yamekamilika ambavyo ni Shule za Sekondari  za Umma 32 psamoja na Shule za Sekondari 7 za Binafsi  .

Akifafanua zaidi kuhusu ratiba ya Mtihani huo Bi. Diana Kuboja amesema kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania inaeleza kwamba Mitihani hiyo ya kumaliza Elimu ya Sekondari ya Kidato cha Nne mwaka 2024  itaanza siku ya Jumatatu tarehe 11 Novemba, 2024 hadi tarehe 21 Novemba, 2024 kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa 9 alasiri kila siku katika masomo ya Geography, Biology, Basic Mathematics,Civics, English Language, Kiswahili, Chemistry, History, Physics, Commerce, Book Keeping, na Computer Studies pamoja na Mtihani wa Vitendo kwa masomo ya Sayansi.                                                 

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                              

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.