• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Watahiniwa 7,602 wanatarajiwa kufanya Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi kesho Wilayani Misungwi

Imewekwa : September 4th, 2018

Jumla ya Watahiniwa 7,602 wanatarajiwa kufanya Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi  kuanzia tarehe 5 na kumaliza  6 Septemba, mwaka huu katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza.

Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Misungwi, Bw,  Ephraim Majinge kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo,Bw. Kisena Mabuba, alieleza kwamba Halmashauri hiyo imeshafanya maandalizi yote ya Zoezi la Kitaifa la uendeshaji wa Mtihani wa kumaliza Elimu ya msingi kwa mwaka 2018 na kwamba kuna jumla ya Watahiniwa 7,602 waliosajiliwa kwa ajili ya kufanya Mtihani wa darasa la saba ambapo Wavulana ni 3,518 na Wasichana ni 4,084.

Bw, Majinge alifafanua kuwa kati ya Watahiniwa 7,602 waliosajiliwa miongoni mwao kuna Wanafunzi 33 wenye Ulemavu wa aina mbalimbali na wenye kuhitaji mahitaji maalum wakiwemo  Wavulana 16 na Wasichana 17 ambapo Watahiniwa Wasiona  ni 3, wenye uoni hafifu 10, wenye ulemavu wa Masikio  ni 12 (Viziwi), na wenye ulemavu wa Ngozi ni 8 (Albino) waliopo katika baadhi ya Shule za Msingi.

Afisa Elimu Majinge alisema kwamba Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ina jumla ya Shule za Msingi 145 zikiwemo Shule za  Msingi za Serikali 138 na Shule za Binafsi 7 na Shule hizo zote zitakuwa na jumla ya Mikondo 357 ya Watahiniwa wote watakaofanya Mtihani huo.

Wanafunzi wa darasa la saba ktika Shule ya Msingi Kwimwa Kata ya Sumbugu wakiendelea na Masomo ya ziada wakati wa Likizo ya mwezi Juni  mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya Mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi utakaofanyika kesho (Kushoto) Mwalimu akikagua Wanafunzi wakifanya majaribio ya masomo mbalimbali.

Bw, Majinge aliongeza kuwa kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania inaeleza kwamba Mtihani huo wa kumaliza Elimu ya Msingi utaanza siku ya Jumatano saa 2.00 asubuhi  kwa Watahiniwa hao kufanya masomo ya Kiswahili, Hisabati na English Language na siku ya Alhamis watafanya Mtihani wa masomo ya Sayansi na Maarifa ya Jamii .

Afisa Elimu huyo amesema kuwa Halmashauri na Wilaya kupitia Idara ya Elimu Msingi imeshakamilisha maandalizi yote ya msingi yanayohusu Usafiri na mambo mengine muhimu kwa asilimia 99 hususani suala la usambazaji wa Mitihani kutoka Makao Makuu ya Halmashauri na kupelekwa kwenye Vituo..

Bw, Majinge kwa niaba ya Menejimenti ya Halmashauri amewataka Watumishi,Wazazi na Wananchi wote kuwaombea na kuwatakia Mitihani mwema Watahiniwa wote na mwenyezi Mungu awasaidie ili waweze kufaulu na kutimiza malengo na ndoto zao.

Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Misungwi,Bw,Ephraim Majinge akifafanua na kuelezea jambo kuhusu mikakati na maendeleo ya Sekta ya Elimu kwa Madiwani wa Kamati ya Huduma za Kijamii walipotembelea na kukagua katika Shule ya Msingi Busagara mapema mwaka huu.


         Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi,Bw,Ephraim Majinge


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.