• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Sport, Culture and Arts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

DC Misungwi amewataka Wananchi kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu na kuepuka kujichukulia sheria mkononi na kuendelea kutoa ushirikiano kwa Kamati ya usalma

Imewekwa : September 20th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Johari Samizi amewataka Wananchi kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu na kuepuka kujichukulia sheria mkononi na kupaswa kuendelea kutoa ushirikiano kwa Kamati ya Usalama Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mhe. Samizi ametoa rai hiyo Leo Tarehe 20 Septemba 2025  katika Mkutano na Wananchi wote wa kijiji cha Manawa na kijiji cha Ndua kwa nyakati tofauti ambapo ametoa maelekezo maalumu juu ya mgogoro uliokuepo kati ya wakulima na wafugaji katika vijiji hivyo vilivyopo Tarafa ya Innonerwa, Mgogoro huo umekuwa ukijitokeza mara kwa mara kutokana na malalamiko ya uharibifu wa mazao unaosababishwa na mifugo pamoja na madai ya wakulima kuhusu uvamizi wa maeneo yao kwa kisingizio cha kukosa malisho na maji kwa mifugo yao.

Akizungumza na Wananchi wa Tarafa hiyo katika mkutano wa hadhara, Mhe Samizi amewataka wakulima na wafugaji kuishi kwa amani na kuheshimiana, huku akisisitiza umuhimu wa kila Mwananchi analisha mifugo katika eneo lake pasipo kuingia katika eneo la mwingine au kijiji kingine pia ameagiza viongozi wa vijiji na vitongoji kuhakikisha wanashirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama ili kudhibiti mifugo isiingie kwenye mashamba.

Aidha, amewataka maafisa mifugo na kilimo katika wilaya hiyo kutoa elimu ya mara kwa mara kwa wananchi juu ya matumizi bora ya ardhi na kuhamasisha ufugaji wa kisasa utakaopunguza migongano. "Ni wajibu wetu kulinda amani na mshikamano, hatutakubali mtu yeyote kuendeleza uhasama unaoweza kusababisha madhara makubwa katika jamii," alisema Mkuu wa Wilaya.

Katika hatua nyingine Mhe. Samizi amewahamasisha wananchi kujitokeza kushiriki katika uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ifikapo tarehe 29 Octoba 2025 kwani ni haki ya kila mwananchi kupiga kura.

Naye Mkuu wa Jeshi la Polisi wa Wilaya ya Misungwi OCD Gasper Silayo amewasisitiza wananchi hao kuhakikisha wanaepuka viyendo vya uhalifu wa aina yoyote vinavyoweza kuvunja amani na kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kuwabaini wahalifu hao.

Wananchi waliohudhuria mkutano huo wamepongeza hatua ya Serikali kushughulikia suala hilo, wakieleza kuwa maelekezo yaliyotolewa yatawezesha kuimarisha mshikamano na kupunguza migongano ya mara kwa mara.


Matangazo

  • MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA ACSEE MWAKA 2025 July 07, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi Mhe. Johari Samizi ahamasisha Ujenzi wa Zahanati Mpya Kufuatia Kuhalibiwa na Mvua Zahanati Iliyokuwepo.

    November 15, 2025
  • DC Misungwi awahamasisha Wananchi kujitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa amani na utulivu

    October 27, 2025
  • DC Misungwi amewataka Wananchi kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu na kuepuka kujichukulia sheria mkononi na kuendelea kutoa ushirikiano kwa Kamati ya usalma

    September 20, 2025
  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.