• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura na Wasimamizi Wasaidizi wameapishwa pamoja na kupatiwa mafunzo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Imewekwa : November 23rd, 2024

Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura na Wasimamizi Wasaidizi wa  Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza Novemba 23, 2024 wameapishwa pamoja na kupatiwa mafunzo kuhusu Zoezi la upigaji kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Novemba 27, mwaka huu.

Akizungumza wakati wa mafunzop hayo,Msimamizi wa Uchaguzi katika Halmashauri ya Wilaya hiyo Addo Missama amewataka maafisa hao Kuhakikisha wanafuata taratibu zote za uchaguzi siku ya kupiga kura ili Kuwezesha uchaguzi kufanyika kwa Amani na utulivu.

"Jukumu hili tunapaswa kulifanya kwa uadilifu mkubwa,Tuzingatie kanuni, Sheria na taratibu za uchaguzi zinavyosema,Amani siku ya uchaguzi ipo mikononi mwetu,hivyo tuhakikishe tunatenda haki kwa kila mmoja hadi tukamilishe uchaguzi" alisema Missama na kuongeza kuwa

"Wasimamizi wa vituo pamoja na Wasimamizi Wasaidizi muhakikishe mnawahi kwenye vituo vya kupigia kura ambavyo mmepangiwa kusimamia siku ya uchaguzi ili kuweka mazingira sawa yatakayowezesha Kufanya kazi kiuweledi,

Aidha amewasisitiza Kuendelea kuhamasisha Wananchi kwenye kila kitongoji na kijiji kupitia Wazee marufuu na madhuhuri ili siku ya kupiga kura waweze kujitokeza kwa wingi kuchagua viongozi wanaowataka kwa Maendeleo yao.

Naye Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Dickson Kawovela amewasihi na kuwaomba Wananchi wote waliojiandikisha katika Orodha ya Makazi kujitokeza na kutumia haki Yao ya Msingi na ya kikatiba ya kumchangua Kiongozi wanayempenda na kuwekeza kwamba Maandalizi yapo vizuri na wamejipanga vizuri na watahakikisha Wananchi wote wanapiga kura na kushiriki .

Kwa upande wake Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Misungwi Bi.Elly Makala ameeleza kwamba Wasimamizi wa Vituo vyote wanapaswa kuwa Waadilifu na kuzingatia Maelekezo ya Serikali na kuacha Vitendo viovu vitakavyosababisha kuingiz Vishawishi   wakati wa zoezi la Uchaguzi na kuwataka kuwa waaminifu na waendelee kumcha Mwenyezi Mungu.

Zoezi la upigaji kura litafanyika nchini siku ya Jumatano Novemba 27 Mwaka huu kuanzia majira ya saa mbili kamili za asubuhi hadi saa 10 za Jioni kwenye vituo vya kupigia kura vilivyopo kila kijiji.



Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.