• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Wananchi wa Kata ya Kijima watumia haki ya Kikatiba ya Kupiga Kura na kumchagua Diwani wa Chama cha Mapinduzi (CCM)

Imewekwa : November 26th, 2017

Msimamizi wa Uchaguzi wa Uchaguzi wa Jimbo la Misungwi,katika Halmashauri ya Wilaya,Eliurd Mwaiteleke ametangaza Matokeo ya uchaguzi wa Udiwani katika Kata ya Kijima ambapo Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM kuibuka Kidedea.

Mwaiteleke alitangaza Matokeo hayo ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani uliofanyika katika Kata ya Kijima ambapo Mgombea kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Kanzaga E.Katamki ameibuka Kidedea.

Mwaiteleke alitangaza Matokeo hayo ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani mara baada ya kukamilika kwa Zoezi la Upigaji Kura pamoja  na kuhesabu hivyo kwa Mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Madiwani za mwaka 2015,alitangaza rasmi kwamba Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM,Kanzaga E.Katamki ameshinda kwa kupata Kura 1,428 akifuatiwa na Mgombea wa Chama cha CHADEMA,Gabriel M.Shiloti aliyepata Kura 614 na Mgombea wa Chama cha ACT Wazalendo,Elius J.Mayeka alipata Kura 205.

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Misungwi alieleza kwamba katika Uchaguzi huo Idadi ya Wapiga Kura walioandikishwa ni 4,578,Idadi halisi ya Waliopiga Kura ni 2,366,na Idadi ya Kura Halali zilizopigwa ni 2,307 na Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 59.

Mwaiteleke alisema kuwa Zoezi la Upigaji Kura limefanyika vizuri kwa amani na usalama ambapo Vituo vya Kupigia Kura vyote 12 vilifunguliwa saa 1.00 asubuhi na Wananchi walijitokeza kupiga Kura  kwa wingi hadi Vituo vinafungwa saa 10.00 jioni hali kwa ujumla ilikuwa nzuri na utulivu wa kutosha.

Alibainisha na kuvitaja Vituo vyote 12 vilivyotumika kupiga Kura ambavyo ni pamoja  na Chande Mwembeni,Shule ya Msingi Ikoma,Mashineni Igobeko 1,Shule ya Msingi Isakamawe -1,Shule ya Msingi Isakamawe -2,Kijima Ofisi ya WEO,Shule ya Msingi Kijima "A"-1,Shule ya Msingi Kijima "B'-2, Shule ya Msingi Kijima "B"- 1,Mwamaguha Chama cha Ushirika -1,Mwambola Mkwajuni -1,Shule ya Msingi Mwamaguha .

Kwa Mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo iliitisha kufanyika kwa Uchaguzi huo Mdogo wa Udiwani kwa nchi nzima  tarehe 26 Novemba,2017 kwa ajili ya kuziba Nafasi zilizokuwa  Wazi za Madiwani katika Kata 43 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo Kifo,Kuondolewa Madarakani pamoja na Kuvuliwa Uanachama wa Chama na kukosa sifa ya kuwa Kiongozi.

Uchaguzi Mdogo wa Kata ya Kijima katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi umefanyika ikiwa ni kutokana na kufariki Dunia kwa aliyekuwa Diwani wa Kata hiyo Marehemu, Nkwabi Mpanduji mnamo mwezi Julai 2017.



Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.