• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Wananchi na Viongozi wajitokeza kuchimba misingi ya madarasa Sekondari Wilayani Misungwi

Imewekwa : October 28th, 2021

Wananchi wa Kata ya Misungwi, katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza wajitokeza katika Uzinduzi wa uchimbaji wa msingi wa ujenzi wa vyumba vya Madarasa 20 katika Shule tatu za Sekondari zilizopo katika Kata hiyo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bi. Leokadia Humera amesema kwamba Halmashauri hiyo imepokea fedha cha kiasi cha shilingi Billioni 2.9 kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya vyumba 146 katika shule za Sekondari 32 za Serikali zilizopo katika Halmashauri hiyo  ambayo ilikuwa inakabiliwa na upungufu wa zaidi ya vyumba vya madarasa 150 katika shule za Sekondari pamoja na shilingi milioni 90 za kujenga Nyumba ya mtumishi (three in one) katika Kituo cha kutolea huduma za Afya kimoja ambapo tayari maandalizi yameshafanyika katika maeneo yote ya ujenzi ikiwemo kupata mafundi, maandalizi ya manunuzi ya vifaa vya ujenzi.

Bi. Leokadia Humera ameeleza kwamba Halmashauri ya Misungwi kupitia uongozi na Menejimenti kwa ujumla imejidhatiti kikamilifu na kujipanga kutekeleza na kusimamia  miradi hii kwa ubora na uimara na kuwataka Wananchi waendelee kuhamasika na kuiunga mkono Serikali ya awamu ya sita kwa kujitokeza katika kushiriki ujenzi kwa pamoja na lengo ni kuweza kubakisha chenji ambayo itatumika katika kutekeleza mambo mengine ikiwa ni pamoja na kujenga matundu ya vyoo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ameongeza kuwa Wananchi wamehamasika kuchimba msingi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya watoto wao na kwamba anataoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha hizo ambazo katika Halmashauri ya Misungwi zitapunguza tatizo la mrundikano wa Wanafuzni madarasani.

Kwa upande wake Mkuu wa Shule ya Sekondari Misungwi Bw. Ananias Mbandwa ameeleza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuwapatia vyumba vya madarasa nane ambapo katika shule hiyo kulikuwa na upungufu wa vyumba kumi na viwili na kwa sasa baada ya madarasa kukamilika utasaidia na kuwezesha Wanafunzi kusoma kwa bidii na kuhamasisha wazazi kusomesha watoto katika shule za Serikali kutokana na ubora utakaokuwepo.

Baadhi ya Wazazi walioshiriki katika uzinduzi huo wa kuchimba misingi katika shule za Sekondari tatu za Kata ya Misungwi wamesema kwamba wamefarijika na jitihada za Serikali za kuweza kuwajengea watoto wao madarasa ili waweze kusoma vizuri na kuipongeza Serikali ya awamu ya sita na kuahidi kuendelea kushiriki katika shughuli za maendeleo kwa manufaa yao na taifa kwa ujumla.

Shule zilizocanza kuchimba misingi katika Kata ya Misungwi ni pamoja na Aime Milembe Sekondari  vyumba vya maadarasa sita, Jitihada Sekondari vyumba sita na Sekondari ya Misungwi yenye jumla ya vyumba vya madarasa 8.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.