• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Wanafunzi wapatiwa Taulo za kike Wilayani Misungwi

Imewekwa : May 16th, 2022

Kampuni ya DOWEICARE  TECHNOLOGY LTD  yatoa msaada wa taulo za kike aina ya soft Care Sanitary pad kwa wanafunzi wa kike 10,008 wa shule za Sekondari na Msingi Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Akizungumza katika Viwanja vya Shule Sekondari Misungwi, Balozi wa Sott care nchini Zarina Hassan maarufu  “Zari the Boss Lady” amesema msaada huo umetolewa kwenye shule za sekondari 32 na shule za Msingi 150 ili waweze kujiamini pindi wanakuwa katika hedhi na kuitaka Serikal kuanzisha na kulikuchukulia suala hili kipaumbele na kuwa Kampeni ya Kitaifa ya ugawaji wa Taulo kwa Wanafunzi wa kike nchi nzima.

Aidha amewataka wazazi na walezi kuona umuhimu wa kununua taulo za kike pindi wanapofanya mahitaji ya watoto wao ya shule waache kutumia vitambaa wakati wa hedhi kwa sababu wakivaa muda mrefu hutoa harufu mbaya na kusababisha kukosa raha na kusababisha kushindwa kusoma .

Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ,Victor Zhang ameishukuru  sana shule ya Misungwi kwa kupokea misaada yao na kuahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu zaidi na Serikali kutoa misaada ya taulo za kike,ikiwa ni sehemu ya  wao kurudisha shukrani kwa jamii

Bw. Victor Zhang amesema kwamba Kampuni imeweza kusaidia Halamshauri ya Misungwi kwa kutoa taulo za kike zenye thamani ya shilingi milioni 13 kwa ajili ya Wanafunzi wote wa kike wa shule 32 za Sekondari za Serikali na 7 za Binafsi pamoja na baadhi ya Wanafunzi wa shule za msingi.

Naye, Mwanafunzi wa shule ya Misungwi Sekondari Sabrina Yahya akisoma risala kwa niaba ya wanafunzi wenzake amesema kutumia taulo hizo kuna faida kwani humfanya msichana kuwa na amani wakati wa hedhi na kuwa msafi  na huru muda wote.

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya taulo hizo iliyofanyika katika  Mkuu wa Mkoa Mhandisi  Robert Gabriel ambaye alikuwa mgeni rasmi ameishukuru taasisi hiyo kwa kutoa msaada huo wa taulo za kike kwenye shule mbalimbali zikiwemo za msingi na Sekondari Misungwi,Elpase,Jitihada,Zulu,Igokelo,Aimee Mirembe na kuziomba taasisi  zingine zijitokeze kusaidia wanafunzi na kuelekeza kwamba suala la ugawaji wa Taulo kwa Watoto wa kike iwe Kampeni maalumu ya kunusuru na kuwakomboa watoto wa kike.

Mhandisi Robert Gabriel pia aliagiza Halmashauri ya Wilaya kuweza kutoa eneo la kiwanja kwa ajili ya ujenzi na uwekezaji wa Kampuni ya Doweicare

Kwa upande wake Afisa Elimu Taaluma wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ,Selema  Ikowelo ,amsema ukosefu wa taulo za kike imekuwa tatizo kubwa sana kwa wanafunzi wengi katika Wilaya hiyo.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Mhe,Robert Gabriel akizungumza kwenye hafla ya ugawaji wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Misungwi.


Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Veronica Kessy akimkabidhi tuzo ya heshima Zarina Hassani  katika zoezi la ugawaji wa Taulo za kike katika viwanja vya Sekondari Misungwi.Akishuhudiwa mbele ya  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi Mhe,Kashinje Machibya(mkono wa kulia) pamoja na Katibu Tawala wa Wilaya  ya Misungwi(katikati)Petro Sabato



Baadhi ya Wanafunzi wa shule ya Sekondari Misungwi wakipokea msaada wa Taulo za kike katika viwanja vya Misungwi Sekondari Wilayani Misungwi.


Zarina Hassani alimaarufu kwa jina la " Zari The Boss Lady" akizungumza  katika hafla ya ugawaji wa taulo za  kike katika viwanja vya Misungwi Sekondari.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.