• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Sport, Culture and Arts Unit
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Wakuu wa vituo vya kutolea huduma za afya na Elimu, watendaji wa kata na wakuu wa idara wapatiwa mafunzo ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2024/2025

Imewekwa : December 5th, 2024

Wakuu wa vituo vya kutolea huduma za afya na Elimu, watendaji wa kata na wakuu wa idara wapatiwa mafunzo ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Hayo yamebainishwa tarehe 5 Disemba 2024  na  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Misungwi Bw. Addo Missama wakati Akifungua kikao cha maelekezo ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika vituo vya kutolea huduma za afya na elimu kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo ameeleza kuwa bila ya maadili mema na uwazi katika utendaji wa shughuri za Kiserikali ni vigumu kufikia malengo ya maendeleo endelevu ambavyo  kila mmoja katika Serikali anawajibika kuhakikisha kuwa rasilimali za umma zinatumika kwa njia inayofaa na kwa manufaa ya wananchi wote.

Naye Mkuu wa Takukuru Wilaya ya Misungwi Bi. Elly Makala amesema kuwa kuelekea maadhimisho ya siku kuu ya Maadili tarehe 10/12/2024 kuna umuhimu wa kuimarisha maadili katika utendaji wa majukumu ya kiserikali na jamii ikiwa ni pamoja na kuzingatia kanuni za maadili katika kazi zao ili kujenga imani na uaminifu kutoka kwa wananchi katika kufanikisha ukamilishaji wa miradi ya kimaendeleo..

Bi. Elly ameongeza kuwa ili kuhakikisha kuwa  kila mtu kuchukua hatua za katika kupambana na rushwa na kuhakikisha kuwa haki za binadamu zinaheshimiwa katika kila hatua ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuhakikisha wanaimarisha ushirikiano na uwajibikaji katika sekta mbalimbali ikiwemo  za afya na elimu.

Afisa Mipango wa Wilaya ya Misungwi Bi. Piniel Titto amesema kuwa Kikao hicho kimelenga pia kujadili mikakati ya kuboresha huduma za afya na elimu ikiwa ni pamoja na kutambua kuwa maendeleo hayawezi kupatikana bila ya ushirikiano wa karibu kati ya Serikali, wananchi na wadau mbalimbali.

Afisa ugavi wa Halmashauri Wilaya ya Misungwi Bw. Andrew Ndaki amewataka Watendaji wa kata,Walimu na Wahudumu wa afya kwa kushirikiana na kamati ya ujenzi na utekelezaji wa miradi ngazi ya serikali za vijiji na vitongoji kuhakikisha wanakuwa makini katika ufatiliaji wa manunuzi na usimamizi wa miradi katika kata zao.

Baadhi ya Wakuu wa vituo vya kutolea huduma za afya na elumu na  watendaji wa kata watoa pongezi kwa kupata kikao hicho ambapo kitakua msaada katika kufanya kazi kwa weledi na kuyatekeleza yale yaliotolewa na kuelekezwa kaitika kikao hicho ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanasimamia kwa weledi manunuzi ya yanayohitajika Katika miradi.

Kikao hicho kiliudhuriwa na Maafisa Takukuru ngazi ya Wilaya ,Wakuu wa idara Halmashauri ,Wakuu wa vituo vya kutolea huduma za afya na elumu na  watendaji wa kata. 

Matangazo

  • MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA ACSEE MWAKA 2025 July 07, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • Makala : ​Miradi ya Boost yaipaisha sekta ya Elimu Misungwi 2026

    January 09, 2026
  • DAS Misungwi awataka Waheshimiwa Madiwani kutimiza thamani waliopewa na Wananchi

    December 03, 2025
  • DC Misungwi Mhe. Johari Samizi ahamasisha Ujenzi wa Zahanati Mpya Kufuatia Kuhalibiwa na Mvua Zahanati Iliyokuwepo.

    November 15, 2025
  • DC Misungwi awahamasisha Wananchi kujitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa amani na utulivu

    October 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.