• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Wajumbe wa Bodi ya mpango wa TASAF Taifa wameipongeza Halmashauri Wilaya ya Misungwi kwa kutimiza na kutekeleza kikamilifu mpango wa kunusuru kaya masikini awamu ya tatu

Imewekwa : January 16th, 2025

Wajumbe wa Bodi ya mpango wa TASAF Taifa wameipongeza Halmashauri Wilaya ya Misungwi kwa kutimiza na kutekeleza kikamilifu  mpango wa kunusuru kaya masikini awamu ya tatu kwa kutoa shilingi milioni 22,073,234/= kwa Vikundi  vitano pamoja na shilingi Milioni 342,323,000/= za Uhaulishaji Wananchi wa Kijiji cha Igenge Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza 

Hayo yamebainishwa Januari 16, 2025 na Kiongozi wa Bodi yampango wa  TASAF Taifa Bw. Naftali Ng’umi wakati wa ziara ya kutembelea vikundi 5 vyenye jumla ya wananchama 69 katika Kijiji cha Igenge Kata ya Mbarika vilivyopewa nafasi ya kuibua miradi kwa kila kikundi ambapo ameridhishwa na kupongeza jitihada zinazofanywa na wanakikundi hao kwa ajili ya kuwanufaisha kiuchumi ambapo fedha walizopokea kwa mwaka 2023/2025 zimekuea sehemu ya kuwawezesha kuwapa vifaa mbalimbali vya utengenezaji wa batiki.

Naye Mkurugenzi wa Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Misungwi Bw. Addo Missama amewapongeza wanakikundi kuinua vipato vya familia zao kwa kujipatia mitaji ya kuanzisha miradi midogo midogo, kupitia programu ya vikundi vya TASAF na wamethibitisha kuwa, licha ya kupokea fedha lakini pia walijengewa uwezo wa kuanzisha vikundi vya kuweka na kukopa kupitia fedha za ruzuku wanazopokea.

Kwa upande wake Afisa ufuatiliaji wa TASAF Wilaya Bw. Steven Samwel amesema kuwa vikundi hivyo vilipokea elimu kutoka kwa watalamu waliwajengea uwezo wa kuanzisha vikundi vya kuwekeza pesa kutokana na ruzuku wanayoipa kutoka TASAF,na bada ya kuanzisha vikundi hivyowameweza ambapo biashara hizo zimepunguza ugumu wa Maisha na kuwekeza, kukopa na kurejesha kwa wakati, na kuongeza ujuzi wa kiujasiriamali.

Bw. Steven Samwel ameeleza kuwa vikundi hivyo vilivyonufaika na mpango huo ni pamoja na kikundi cha amani- utengenezaji wa vikapu wanachama 12, kikundi cha mlimani city- utengenezaji wa batiki wanachama 13,kikapu ushirikiano- utengenezaji sabuni wanachama 15 ,kikundi cha baraka -ufugaji kondoo wanachama 15 pamoja na kikundi cha umoja ni nguvu -ufugaji kondoo wanachama 14 waliofanikiwa kuhudumia familia, kuboresha makazi , kujihusisha na biashara ndpgpndogo, kilimo na Ufugaji na kupata uwezo katika kaya hizo.

Naye Mwenyekiti wa kikundi cha Mlimani City kijiji cha igenge kata ya Mbarika Bi. Kamuli Charles ameishukuru Serikali ya awamu sita kwa kuwawezesha na kuwapatia mradi kupitia vikundi ambapo ameeleza kuwa Hapo mwanzo hatukuamini kama jambo hili kama litawezekana, kutoka na kiasi cha pesa tunachopokea, lakini tuna mfuko wa jamii ambao tunasaidiana kutatua changamoto za kijamii kama msiba na ugonjwa, kwa kupata faida ya 108,000/= kupitia biashara, inayotuwezehsa kuendelea kuweka akiba, kukopa na kupata marejesho, huku faida ya biashara ikituwezesha kuhudumia famialia zetu pi  wamepata ujuzi wa kutengeneza batiki  ,hivyo itasidia kupata kipato cha kuweza kukidhi mahitaji katika familia zao.

Mpango wa Kunusuru kaya masikini, wenye lengo la kukuza pato la familia, umekuwa na programu ya vikundi vya kuweka na kuwekeza kwa walengwa walio kwenye mpango ili kukuza uchumi wa kaya kwa muda mrefu sasa ambapo katiKA Ziara hiyo na iliyoambatanisha na kujumuisha Wataalam mbalimbali kutoka ngazi ya Taifa na Mkoa wa Mwanza.






Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.