• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Wahitimu Jeshi la akiba Misungwi waaswa kuchangamkia fursa ya Mikopo ya Wajasiriamali

Imewekwa : October 30th, 2024

DC Misungwi awataka Wahitimu 65 wa mafunzo ya Jeshi la Akiba mwaka 2024 kuchangamkia fursa za Mikopo ya Vijana ili kuinua kipato na uchumi wa familia katika Halmashauri Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mhe. Samizi amebainisha hayo wakati akifunga mafunzo ya Jeshi la Akiba kwa Wahitimu 65 siku ya Jumatano tarehe 30 Oktoba, 2024 yaliyofanyika takribani miezi 4 katika Tarafa ya Usagara ambapo wamejifunza ujasiriamali, ukakamavu pamoja na kwata, matumizi ya silaha, Usalama wa raia, kuzuia na kupambana na  rushwa, huduma ya kwanza, Utimamu wa mwili na kuwasihi kuyatumia mafunzo hayo vizuri ili kuleta tija katika jamii na kuwa mfano mzuri wa uongozi na uwajibikaji katika uwezo wa kushiriki katika shughuli za ulinzi na usalama, kwa manufaa ya nchi na kujiepusha na vitendo vya uhalifu hivyo ni muhimu kwao kutumia maarifa hayo kwa njia sahihi.

"Mmefuzu na mnatambulika rasmi kama mlivyo kula kiapo nendeni mkakiishi, mkakisimamie kama mlivyofundishwa na muwe mfano bora katika jamii". Alisisitiza Mhe. Johari Samizi.

Mhe. Johari Samizi amewaeleza Wahitimu hao kwamba wanapaswa kuungana na vyombo vya usalama katika juhudi za kupambana na uhalifu na kuimarisha amani katika Wilaya ya Misungwi ambapo kila mmoja ana jukumu la kuhakikisha usalama wa jamii na kutoa ushirikiano wa dhati na ni muhimu kufanya kazi kwa kujituma samabamba na kutumia vizuri fursa za ujasiriamali kwa kujiunga kwenye Vikundi kwa lengo la kupatiwa Mikopo ya Vijana na kujiongezea kipato na kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.

Naye Mshauri wa Jeshi la Akiba Wilaya ya Misungwi Bw. Alexander Magukura akieleza namna mafunzo yalivyoendeshwa na Wakufunzi kuanzia mwezi Julai 2024 katika Tarafa ya Usagara maeneo ya Sanjo ambapo kupitia vijana 89 walioanza mafunzo  walifundishwa mbinu mbalimbali ikiwemo matumizi ya silaha, Usalama wa raia, kuzuia na kupambana na  rushwa, Uzalendo, huduma ya kwanza, utimamu wa mwili na ukakamavu ambapo baadhi yao hawakuweza kuhitimu mafunzo hayo kutokana na sababu mbalimbali kama vile utoro na nidhamu, hivyo hadi kuhitimishwa  kwa mafunzo hayo vijana 65 pekee ndio wanefanikiwa kuhitimu.

Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwemo, Wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Wilaya, Wataalam na Watendaji wa Serikali, Maafisa wa Jeshi  la Ulinzi, Wazazi, na wanajamii, ambapo Mhe. Samizi alihimiza umuhimu wa mafunzo ya Jeshi la Akiba katika kujenga taifa lenye usalama na maendeleo endelevu.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.