• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

TASAF kuhakiki walengwa katika Kaya 8,566 Wilayani Misungwi

Imewekwa : July 22nd, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi  yaanza  zoezi la kuhakiki  Kaya maskini zaidi ya 8,566 kwa mfumo wa Kieletroniki kwa ajili kupata idadi halisi ya  Kaya maskini zitakazonufaika katika kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya mpango wa mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF).

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Kisena Mabuba alisema kwamba hatua za kisheria zitachukuliwa kwa Watendaji watakaojihusisha na na udanganyifu  kwa kuingiza Kaya na watu wasio na sifa na kuwataka wafanye kazi kwa weledi na uaminifu mkubwa.

“ Katika zoezi hili umakini na weledi wa Watendaji ndio unatakiwa kwa lengo la kuondoa na kutokomeza walengwa hewa na kuwaonya wale watakaoshindwa kutimiza majukumu yao ipasavyo  na endapo itabainika kutokea kwa udanganyifu ama uzembe wowote  watashughulikiwa kikamilifu ,” alisisitiza Mabuba.

Afisa Ufuatiliaji wa TASAF Wilaya ya Misungwi, Steven Samweli alisema na kueleza kwamba katika zoezi la uhakiki huo wanatarajia kuzifikia Kaya maskini zipatazo 8,566 zilizomo katika vijiji 60 kati ya vijiji vyote 114 vya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, na kwamba katika mpango huu wa kipindi cha pili cha awamu ya tatu vijiji vyote 114 vitanufaika na mpango huo wa TASAF.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya taifa, Grace KIbonde alisema kuwa mpango wa TASAF awamu ya tatu umechangia sana katika kuchagiza maendeleo ya kiuchumi  hapa nchini na kueleza kuwa kaya za walengwa zimewezeshwa  kiuchumi kwa kuinua kipato kupitia shughuli za ufugaji, kilimo, uvuvi na shughuli za ujasiriamali na hatimaye walengwa wameweza kujikomboa na kupata maisha bora.

Baadhi ya Wawezeshaji wa ngazi ya Wilaya ya Misungwi wakimsikliza Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya taifa wakati wa mafunzo kwa ajili ya maandalizi ya zoezi la kuhakiki Kaya maskini katika Wilaya ya Misungwi hivi karibuni.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.