• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Serikali yabaini Ujenzi wa uzio kuwa Suluhisho wa uvamizi wa Mifugo Mabuki Wilayani Misungwi

Imewekwa : March 12th, 2024

Serikali kujenga uzio ili kukabiliana na uvamizi wa makundi ya  wafugaji katika shamba la mifugo Mabuki wilayani Misungwi mkoani mwanza.

Hayo yamebainishwa na Naibu wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.Alexender Mnyeti leo wakati akizungumza katika kikao na Viongozi na Vijana wa BBT katika kituo atamizi cha Mabuki,mara baada ya kupewa taarifa ya uvamizi wa mara kwa mara wa makundi ya mifugo kutoka kwa wafugaji Kata za  Misasi,Kijima,Mabuki na Kata  za Wilaya za jirani.

Mhe.Myeti amesema Wizara itaweka utaratibu wa kujenga uzio kuzunguka   shamba la mabuki lenye ukubwa wa eneo la hekta zaidi ya elfu tisa ambapo ujenzi huo utajengwa kwa awamu kuanzia maeneo ya Kata zenye uvamizi mkubwa ikiwemo Kata ya Kijima na Misasi ili kukabiliana na kukomesha uvamizi wa mifugo kwenye hifadhi ya shamba la Mabuki.

"Hii ni rasilimali ya nchi siyo ya Misungwi pekee na ni muhimu shamba likalindwa kwa manufaa ya wote" alisisitiza Mnyeti.

Mhe. Naibu wa waziri wa Mifugo na Uvuvi ameongeza kwamba Wizara itaweka bajeti ya kujenga ujizio kwa awamu ili kuepusha mwingiliano wa mifugo ya asili na mifugo ya Serikali pamoja na mradi wa ki mkakati wa Vijana wa BBT ili kuepusha mlipoko wa magonjwa ya mifungo yanayo tokana na mwingiliano wa makundi ya mifugo ya wananchi.

Mhe.Mnyeti ameeleza kwamba Serikali itatoa fedha za kujenga na kukarabati malambo ili kupata huduma ya maji na kuwata wataalamu waendelee kutoa elimu ya kutosha kwa wafugaji ili waweze kufuga kisasa.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.Alexender Mnyeti amefanya ziara ya kutembelea na kuongea na vijana wa BBT katika shamba la Mifugo Mabuki leo akisikiliza na kutoa maelekezo ya Serikali ambapo amesema Serikali itajenga uzio kuzunguka shamba la mifugo Mabuki Wilayani Misungwi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.