• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

RC Makalla aagiza Wasimamizi Ujenzi kukamilisha Hospitali ya Wilaya Misungwi na kuanza kutoa Huduma zote

Imewekwa : November 7th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla  aagiza kukamilishwa Kwa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya  Misungwi yenye thamani ya  zaidi ya shilingi Bilioni 3 ili kuruhusu Huduma za upasuaji na huduma zote kuanza kutolewa.

Mhe, Makalla amewaagiza Viongozi na wasimamizi wa mradi huo kukamilisha kwa wakati ifikapo Disemba 31, 2023 ili huduma zinazosubiriwa zianze kutolewa Kwa Wagonjwa.

Mhe. Makalla amesema Rais Dkt.  Samia Suluhu Hassan ameonesha kwa vitendo kwa kuwajali Wananchi wa Wilaya ya Misungwi kwa kuwajengea Hospitali ya Wilaya  kwenye kijiji cha Iteja ambayo inaendelea vizuri na imefikia hatua za mwisho za Ukamilshaji..

"Mhe, Rais Samia hakika amefanya kazi kubwa sana Misungwi, nimeona na kuthibitisha ujenzi wa kiwango kikubwa sana wa majenga zaidi ya 14 kwenye hospitali hii pamoja na vifaa tiba kama mashine ya Mionzi sasa naomba sote kwa pamoja tushiriki katika kukamilisha ujenzi huu." Amesema Mhe. Makalla

Mhe. Makalla pia  ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi wakati akigakua ujenzi wa shule mpya ya msingi ya Mwabebeya iliyojengwa katika  Kijiji cha Nyang'homango Kata ya Usagara ikwa ufadhili wa mradi wa kuimarisha elimu ya Awali na Msingi 2022/23 (BOOST) kwa gharama ya shilingi Milioni 540 Hadi kukamilika.

Mhe, Mkuu wa Mkoa huyo ameeleza kuwa Halmashauri hiyo imeweza kutekeleza Mradi huo kwa usimamizi mzuri wa Ujenzi Kwa Kiwango na ubora na kukamilisha ujenzi kwa wakati.

" Hakika mmefanya kazi kubwa, tuliambiwa madarasa haya yakamilike kabla ya mwezi wa 12 lakini nyie mmekamilisha kabla ya wakati, hongereni sana, Amesema Mhe,Makalla

Aidha, amesema hakuna sababu ya mtoto kukaa mtaani hivyo Wananchi wawapeleke watoto shule  waweze kujiunga na shule hiyo ambayo itaondoa adha ya msongamano kwenye shule zingine  za Kata ya Usagara.

Mhe, Makalla amemwelekeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Misungwi BwJoseph Mafuru kuhakikisha mchakato wa kumpata Mwalimu Mkuu Mwenye sifa stahiki wa shule hiyo unafanyika Kwa haraka na kuwezesha Maendeleo ya Shule hiyo katika taaluma mwaka 2024.

 Ameelekeza Tannesco Wilaya ya Misungwi kuhakikisha wanatoa Ushirikiano katika hatua za kuweka miundombinu ya umeme katika Shule hiyo ya Msingi Mwabebeya.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA  Amos Makalla katikai,kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe.Paulo Chacha na wa kushoto ni Afisa Elimu Msingi  Bw.Chrisopher Legonda akikagua Mradi wa Shule mpya ya Msingi Mwabebeya iliyopo Kijiji cha Ntende Kata ya Usagara iliyogharimu zaidi ya Milioni mia tano kwa Fedha za Serikali kupitia mradi wa BOOST.

Mwonekano wa majengo ya Shule ya Msingi ya Mwabebeya iliyopo kijiji cha Ntende kata Usagara ambayo imejengwa kwa Fedha za Serikali kupitia Mradi wa BOOST ambayo imeharimu zaidi ya Milioni mia tano.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.