• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

RC Mtanda awataka Wazee kushirikiana na Serikali katika kuelimisha Vijana Wilayani Misungwi

Imewekwa : June 7th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka na kuwakumbusha wazee kuendelea kushirikiana na serikali katika kuelimisha vijana kuwa na Maadili mema na kuachana na tabia hasi zinazosababisha kuwepo na mmomonyoko wa Maadili Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo tarehe 07, Juni, 2024 wakati akizungumza na wazee wa wilaya ambao kwa kauli moja wameonesha imani kubwa kwa Rais Samia katika kuliletea Taifa maendeleo.

"Ni lazima tujenge familia bora na imara, tunapaswa kujiandaa na kustaafu mapema na sio kuongeza mke bali tunapaswa kujiandaa na uzee kwa kujiandalia mahali pa kuishi." Mhe. Mtanda.

Amebainisha kuwa fidia zinazolipwa kwa wananchi wa Fela wanaopisha mradi wa SGR ni ishara ya hatua kubwa zaidi ya maendeleo inayokuja kwa wananchi wa

Misungwi hivyo ni lazima kujiandaa kunufaika nazo kwa kuwekeza.

"Mradi wa kimkakati wenye thamani ya zaidi ya Bilioni 700 (Daraja la Kigongo Busisi) unakaribia kukamilika, ndani ya miezi 3 daraja letu linakamilika na kupitia takwimu za abiria wanaotumia kivuko inaonesha kuna watu wengi sana wanatumia barabara hiyo, tujiandae kunufaika," Amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

Vilevile, ameutaja mradi wa Ujazilizi wa Umeme wenye thamani ya zaidi ya Bilioni 8 na kuna megawati za umeme zaidi ya 80 lakini unaotumika ni umeme kidogo tu na kwamba zaidi ya Bilioni 11 zimekuja kusambaza umeme vijijini kupitia Wakala wa Umeme (REA).

"Serikali inasisitiza malezi bora ya watoto kuanzia unyonyeshaji hadi makuzi na kuwapatia elimu bora ili baadaye waweze kuwatunza wazee wao na serikali inawahakikishia usalama popote walipo hata walio kwenye vituo vya malezi maalum na wafufaika wa mradi wa Uhaulishaji fedha chini ya TASAF wataendelea kunufaika kwa mujibu wa taratibu." Mtanda.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungi Mhe. Johari Samizi amesema tatizo la Maji kwenye kata ya Usagara linakwenda kumalizika hivi karibuni kwani tayari kuna mkandarasi anayejenga mradi wa Maji mkubwa kwenye kata hiyo yenye vijiji vinne na akatoa agizo kwa watumishi wa Afya kuwajali wazee bila kuchoka.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wilaya ya Misungwi Josiah Gambishi amesema anajivunia umoja na ushirikiano walionao ndani ya wilaya hiyo unaochagizwa na uongozi bora wa Mkuu wa Wilaya hiyo na kwa kauli moja wameonesha imani kwa uongozi wa Rais Samia na kusema anatosha kuongoza nchi kwa miaka 5 mingine.


Baadhi ya Wazee  wakifuatilia na kusikiliza Hutoba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda jana katika ukumbi wa MGS  wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya maendelea Wilayani Misungwi

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.