• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

RC Malima atoa Kongole Wananchi Misungwi kujenga Kituo cha Afya kwa Mapato ya ndani

Imewekwa : March 5th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe, Adam Malima aipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mwawile  kwa kutumia fedha zaidi ya shilingi milioni 400 za mapato ya ndani Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe, Rais,Dkt. Samia Suluhu Hassan katika juhudi za kuboresha afya za Wananchi imeendelea kuleta  neema katika sekta ya afya  kwa kutoa fedha za kujenga Vituo vya afya na Zahanati ambapo kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa mwaka wa fedha wa 2022 na mwaka 2023 imetoa zaidi ya Shilingi Milioni 500 za ujenzi wa jengo la OPD, Jengo la Maabara, na jengo la Wodi ya Wazazi ambayo yote kwa sasa yamekamilika kwa asilimia 85 na hatua za ukamilishaji zinaendelea vizuri.

Akikagua ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Nhundulu Wilayani Misungwi mwishoni mwa wiki Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe, Adam Malima amesema kwamba Wananchi wa Wilaya ya Misungwi wamekusanya fedha kutokana na ushuru wa mazao na mapato mengine na kuamua kujenga Kituo cha Afya kwa ajili ya utoaji wa huduma za Afya Wananchi.

“Wananchi wa Kata ya Nhundulu mmepata kinachowastahili kutokana na jitihada zenu, fedha hizo zaidi ya shilingi milioni 500 zilizotumika kujenga majengo hayo si kidogo zimetokana na ushuru wa mazao yenu ambazo zimechangia kutokana na mapato ya Halmashauri, hongereni kwa jitihada hizo.’¯Alieleza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.

Mhe, Malima aliagiza  Shirika la Umeme TANESCO kuwafungia umeme katika Kituo hicho ili kianze kutoa huduma vizuri kwa kupata huduma ya umeme na kuweza kusaidia katika huduma za upasuaji.

Imeelezwa kwamba Wananchi zaidi ya 10,000 (elfu kumi) wa maeneo ya Kata ya Nhundulu na vijiji jirani vya Halmashauri ya Shinyanga vijijini  wanatarajiwa kunufaika na huduma za Afya mara baada ya Kituo cha Afya cha Mwawile kuanza kutoa huduma.

Alisema ujenzi wa miradi ya vituo vya afya inayohusisha miundombinu ya wodi za wazazi,watoto,maabara na majengo ya wagonjwa wa nje (OPD) haviwezi kutoa huduma bila kuwa na maji ya kutosha hivyo ni muhimu Halmashauri ya Misungwi na  Wakala wa Maji vijijini RUWASA washirikiane kutafuta fedha za kuchimba visima virefu vya maji katika Kituo hicho kabla ya kuanza kutoa huduma.

Pia alimwaagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kuhakikisha Kituo hicho kinafunguliwa na anapeleka Watumishi wa kutosha, vifaa tiba, na madawa  kwenye kituo hicho ili wananchi wapate huduma ya Afya kwa wakati

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana alieleza kuwa amefurahishwa sana na hatua za ujenzi wa Kituo hicho na kwamba atahakikisha anafuatilia kwa karibu hatua zote za ukamilishaji na kufunguliwa kwa huduma za Afya katika Kituo hicho ikwemo na upatikanaji wa Watumishi na vifaa tiba kwa wakati.


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe, Adam Malima  ( wa pili kulia) akipokea maelezo namna ya miradi kutoka kwa Mhandisi  Godfrey Sanga Meneja wa RUWASA Mkoa  (wa pili kushoto)pamoja Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana ( wa kwanza kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi  Matiko Chacha (wa kwanza kulia) wakati akikagua miradi mbalimbali Wilayani Misungwi 


Baadhi ya majengo ya Kituo cha Afya Mwawile ambacho kimejengwa kwa Mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kiasi cha shilingi Milioni 400.ambayo nimwonekano wa Majengo ya Mabara na Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD) kwa sasa ujenzi upo asilimia 89  na wanaendelea na ukamilishaji.

Matangazo

  • TANGAZO,KIKAO CHA MADIWANI KWA ROBO YA PILI 2022/2023 February 10, 2023
  • TANGAZO LA MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI -MISUNGWI DC 2022 July 26, 2022
  • TANGAZO USAILI WAKUSANYA MAPATO HALMASHAURI MISUNGWI 2022/2023 August 01, 2022
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MIKOPO YA VIKUNDI HALMASHAURI YA MISUNGWI June 11, 2022
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • RC Malima atoa Kongole Wananchi Misungwi kujenga Kituo cha Afya kwa Mapato ya ndani

    March 05, 2023
  • DC Misungwi aagiza Miradi ya Maendeleo kukamilika kwa wakati Misungwi

    March 01, 2023
  • Baraza la Madiwani Misungwi lapitisha Bajeti Bilioni 54.6 mwaka wa fedha 2023/2024

    February 22, 2023
  • DC Matiko Paulo Chacha akabidhiwa Ofisi na Mkuu wa Wilaya Iringa Veronika Kessy

    February 08, 2023
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0768867886

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.