• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

RC Makalla awataka Wananchi wa Misungwi kutumia fursa na Miundombinu ya Uwekezaji kuleta Maendeleo.

Imewekwa : June 5th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe, Amos Makalla aagiza Halmashauri ya Misungwi kuzitumia kikamilifu fursa za miundombinu ya uwekezaji unaofanyika Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe, Amos Makalla katika ziara ya kujitambulisha na kupokea taarifa ya maendeleo ya miradi  Wilayani Misungwi ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa  ukusanyaji wa mapato pamoja na kuhakikisha yanasimamiwa vizuri na kuelekezwa kwenye Miradi mbalimbali ya maendeleo.

Amesema hayo  katika ukumbi wa Halmashauri wa Wilaya ya Misungwi ambapo ametoa dira ya maendeleo katika kuwahudumia Wananchi kufuatia kuteuliwa hivi karibuni na Mhe,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,  Samia Suluhu Hassan kuongoza Mkoa wa Mwanza.

 Akizungumza na Watumishi Wilayani Misungwi  ametoa rai kwa Viongozi na Watumishi wote kuwa na nidhamu na kujituma kwa bidii katika utendaji kazi na kwa kupokea na kutatua changamoto  kwa wakati kwa wananchi ili waweze kupata huduma bora.“Sifa ya Kiongozi ni kutoa matumaini ya watu anaowaongoza “

Aidha Mhe,Makalla amewataka watendaji wote kuhakikisha wanafuatilia na  kusimamia kikamilifu Miradi yote ya Maendeleo na kuwashirikisha Wananchi mafanikio ya miradi hiyo ikiwa pamoja na  kuboresha Sekta ya Elimu ya Msingi na Sekondari na kuhimiza watoto kwenda shule kupata elimu bila malipo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe,Paul Matiko Chacha  amesema kuwa kwa ushirikiano wa Watumishi waHalmashauri ya Wilaya ya Misungwi pamoja Timu Menejimenti kwa ujumla wake Halmashauri inaendelea kukusanya Mapato ya ndani kwa bidii zote na kuhakikisha wanafikia malengo waliojiwekea kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Bw.Chacha ameongeza  kwamba kupitia Miradi mbalimbali ya Kimkakati inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita ambayo ni Reli ya kisasa SGR na Daraja la Kigongo Busisi itaimarisha uchumi wa Wilaya ya Misungwi pamoja na Mikoa jirani.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe,Kashinje Machibya kwa niaba ya Madiwani amempongeza kwa kuteuliwa kwake na kumshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe, Amos Makalla kwa ujio wake na kumhakikishia kwamba watahakikisha wanasimamia kikamilifu Mapato ya ndani ya Halmashauri ili kufikia malengo waliojiwekea kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Paul Matiko Chacha kushoto akimkabidhi ya Taarifa ya Miradi ya Maendeleo  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe,Amos Makalla wakati wa ziara yake ya kujitambulisha katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musungwi tarehe 3 Juni siku ya Jumamos.


Baadhi wa Wakuu wa Idara na Vitengo na Watumishi mbalimbali waliohudhuria katika Hafla fupi ya ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe,Amos Makalla wakisikiliza na kupokea maelekezo hayo katika Ukumbi wa Halmashauri siku ya Jumamosi tarehe 3 Juni 2023.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe,Amos Makala akisalimiana na baadhi ya viongozi ngazi ya Wilaya wakati wa Ziara ya yake ya kujitambulisha kwa Watumishi na kutoa dira na Mwelekeo wake kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.