• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

RC Makalla aipongeza Halmashauri ya Wilaya Misungwi kupata Hati Safi

Imewekwa : June 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe, Amos Makalla aipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa kupata Hati safi( Unqualified Opinion) katika taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2021/2022.

Akitoa pongezi hizo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Elikana Balandya katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika mwishoni mwa wiki amesema kwamba  Viongozi na Timu ya Menejimenti ya Halamshauri wameonyesha ushirikiano mzuri na kuendelea kupata Hati safi kupitia taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022 na kuwataka kuendelea kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi na ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.

Bw. Balandya amesema kuwa ni lazima Halmashauri isimamie vizuri ukusanyaji Mapato ya ndani ili kuzuia upotevu wa mapato na kufanya kaguzi za mara kwa mara ,usimamizi wa mzuri miradi mbalimbali ya maendeleo itasaidia ili kuondoa hoja za CAG.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe,kashinje Machibya amesema kuwa Halmashauri ya wilaya ya misungwi imepata Hati safi kwa ushirikiano wa timu ya Waatam ,Wahe,Madiwani pamoja na watumishi wote kwa ujumla katika Halmashauri kwa kushiriana kwa juhudi na kufanya kazi kwa weledi na mshikamano na kutanguliza uzalendo mbele hivyo kwa umoja huo imepelekea Halmashauri kupata hati safi.

Aidha Bw,Machibya amewashukuru Waatam wote ngazi ya Halmashauri pamoja na Wahe,Madiwani kuendelea kufanya kazi kwa weledi na kwa umoja kuwatumikia wananchi kwa nguvu zote na kuendana na kasi ya Serikali ya awamu ya Sita na kwa maslahi ya mapana Taifa kwa ujumla.

Awali akiwasilisha taarifa ya hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2021/2022  Mweka Hazina wa Halmashauri Bw. Joseph Mazito  kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, amesema kwamba  katika ukaguzi huo Halmashauri hiyo  imepata Hati safi ambapo hoja zilizohojiwa kwa mwaka wa fedha 2021/2022 zinaendelea kutekelezwa.

Bw,Mazito  ameeleza kwamba kulikuwa na Hoja za nyuma ambazo ni  6 ambapo Hoja 1 imefungwa na Hoja 5 zinaendelea kutekelezwa ambapo Menejimenti inaendelea kufuatilia hoja hizo na kuzitekeleza na baaadae kuhakikiwa na Wakaguzi na watahakikisha zinafanyiwa kazi na kukamilisha kwa kipindi kifupi.

Mweka Hazina wa Halmasahuri ya Wilaya ya Misungwi Bw,Joseph Mazito akisoma taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa fedha 2021/2022  kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmasahauri ya Wilaya ya Misungwi wakati wa kikao cha Hoja za CAG katika Ukumbi wa Halmashauri hivi karibuni.

Wahe,Madiwani wasikiliza kwa makini mjadala na taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 katika ukumbi wa Halmashauri mapema wiki hii,ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ilipata hati safi.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.