• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

RC Chacha atoa neno,aawaga watumishi Wilayani Misungwi

Imewekwa : April 9th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe, Paulo Matiko Chacha aawaga Watumishi na kuwashukuru kwa unyenyekevu mkubwa,ushrikiano walioonyesha katika kutekeleza majukumu ya kuwatumikia wananchi Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

Hayo ameseyasema Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe,Paulo Chacha jana tarehe 08, Aprili,2024 katika hafla ya makabidhiano katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Misungwi ambapo amewashukuru watumishi wote kwa ushirikiano ambao waliutoa kwake  wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi na kuwataka kuendelea kutoa ushirikiano huo kwa Mkuu wa Wilaya mpya katika kutekeleza majukumu ya serikali na kuwahudumia wananchi.

Mhe,Mkuu wa Mkoa wa Tabora ameongeza kwa kusema kuwa kuheshiamiana na kujituma katika kazi ndiyo nguzo ya mafanikio,na kuwataka watumishi kuwajibika kila mtu kwa nafasi yake ili kuondokana na migogoro siyokuwa na tija katika kutekeleza majukumu ya kila siku.

Aidha Katika Hafla hiyo Mhe. Paulo Chacha amewashukuru Viongozi na Watendaji kwa ushirikiano waliouonyesha kipindi cha Uongozi wake,kuwaomba waendelee na Moyo huo na kumpa Ushurikiano Mkuu Wilaya ya Misungwi Mhe, Johari Samizi katika kuendeleza gurudumu la Maendeleo.

Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe.Johari Samizi amesema kuwa ataendeleza yale yote yaliyo mazuri na kusimamia Miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi na kuwatakaWatumishi wampe ushirikiano katika utendaji kazi wake na kumtakia kila kheri Mkuu wa Mkoa wa Tabora katika kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe,Kashinje Machibya kwa niaba ya waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ametoa pongezi za dhati kwa Mhe,Rais Dkt Samia Suluhu Hassani kwa Kuendelea Kuamini na Kumteua Ndg Paulo Chacha  kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora na kuahidi kumpa ushirikano katika kuteleza majukumu ya kuwatumikia Wananchi na Taifa kwa ujumla.


Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe,Paulo Chacha akiongea na watumishi katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi wakati wa hafla fupi ya makabidhiano na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Johari Samizi jana ambapo aliwataka Watumishi kuendelea kuwa na ushirikiano katika utendaji kazi ili kuwatumikia wananchi.

Wakuu wa Idara na Vitengo wakisikiliza na kushiriki katika hafla fupi ya makabidhiano ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Paulo Chacha na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi  Mhe. Johari Samizi katika Ukumbi wa Halmashauri jana ambapo Mkuu wa Wilaya alimpongeza na kumtakia kila kheri Mkuu wa Mkoa wa Tabora katika kutekeleza Majukumu yake mapya ya kazi

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Paulo Chacha katikati,Kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe.Kashinje Machibya na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakiagana na Mkuu wa Mkoa wa Tabaora jana katika Ofisi za Halmashauri.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.