• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Rais Samia kuzindua Mradi wa Maji na Jiwe la Msingi Reli SGR Jumatatu Wilayani Misungwi

Imewekwa : June 11th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Juma Sweda awataka na kuwasihi Wananchi kujitokeza kumpokea Mhe, Samia Suluhu Hassan Rais wa Jmhuri ya Muungano wa Tanzania katika ziara yake ya  kikazi  Wilayani Misungwi tarehe 14 mwezi Juni mwaka huu.

Akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda amesema kwamba Mhe.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atakuwa na ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Misumgwi siku ya jumatatu tarehe 14 mwezi Juni ambapo atatembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Magufuli katika maeneo ya Kigongo – Busisi.

Juma Sweda amesema katika ziara hiyo Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan katika Wilaya ya Misungwi atafanya Uzinduzi wa Mradi Mkubwa wa Maji wa Nyahiti – Misungwi uliojengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 12 ambao utanufaisha Wananchi wa Kata ya Misungwi na Igokelo pamoja na kuweka Jiwe la msingi katika ujenzi wa mradi wa Reli ya kisasa (SGR) eneo la Fella.

Mhe. Juma Sweda amewataka Wananchi wote kutoka maeneo ya Wilaya ya Misungwi na maeneo jirani kujitokeza kwa wingi kumpokea na kumlaki  Mhe, Rais katika maeneo yote ya miradi atakapotembelea kwa ajili ya shughuli ikiwemo  kuzungumza na Wananchi katika eneo la uzinduzi wa  mradi wa maji wa Nyahiti – Misungwi katika tanki la maji la Bomani Masawe  na eneo la uwekaji wa jiwe la msingi katika ujenzi wa Reli ya kisasa SGR  Fella.

Amewataka na kuwaomba Wananchi pamoja na Wafanyafabiashara ndogo ndogo kujitokeza na kutumia fursa hiyo  kwa ajili ya kuweza kutoa huduma na kuuza bidhaa za chakula kwa Wananchi watakaokuwepo maeneo hayo ili  pia kuweza kushuhudia na kumsikiliza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kuona miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Serikali ya awamu ya sita.

Wakati huo huo, katika taarifa yake Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Misungwi ameeleza kwamba katika ziara hiyo ambayo itahudhuriwa na Viongozi wengine wa Chama na Serikali, ngazi ya Taifa , Mkoa na Wilaya pia kutakuwepo na  Vikundi mbalimbali vya burudani za ngoma za Asili, Kwaya, na Wasanii wa Tanzania akiwemo Peter Msechu, Harmozer na wengine wengi watakaotoa burudani kabambe wakati wa shughuli nzima katika maeneo ya miradi husika.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.