• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Rais Samia azindua mradi wa Maji wa Bilioni 13.77 mjini Misungwi.

Imewekwa : June 14th, 2021

Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa  Tanzania , Mhe, Samia Suluhu Hassan  amezindua mradi wa Maji wa Nyahiti – Misungwi wenye gharama ya shilingi Bilioni 13.77 unaohudumia Wananchi elfu 24,000 wa Kata ya Misungwi na Igokelo.

Mhe, Rais Samia akizungumza na  Wananchi wa Wilaya ya Misungwi na  amewapongeza  kwa kupata maji safi na salama kwa asilimia 83 na kuelekea asilimia  100 kwa sasa na kuwaomba  kuendelea kutunza mazingira na vyanzo vya maji na kuvuna maji ya mvua ili kupunguza tatizo la maji na baadae kuondoa kabisa tatizo la maji nchini.

Mhe, Rais Samia  ametoa wito kwa Wananchi wote kuilinda na kuitunza miundombinu ya maji kutokana na kutumia fedha nyingi na Ameagiza Wizara ya Maji na Wahandisi wa mamlaka  na Wakala za maji nchini kuhakikisha na kuongeza usambazaji  wa maji kwa Wananchi ili waweze kupata maji na kunufaika na matunda ya raslimali za taifa na kuonya masuala ya kuwabambikia bili za maji wateja na kuhakikisha na kuwasisitiza Wananchi kuendelea kulipa bili kwa wakati kulingana na matumizi yake.

Akitoa  taarifa ya Mradi huo wa maji Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji , Antony Sanga amesema  kwamba Mradi huo wa maji umejengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 13.77 ambao utanufaisha Wananchi  elfu 24 wa Kata ya Misungwi na Igokelo .

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Antony  Sanga ameeleza kuwa mradi huo umejengwa kutoka katika chanzo cha Ziwa Victoria katika eneo la Kijiji cha Nyahiti ambao  una uwezo wa kuzalisha maji zaidi ya lita za ujazo milioni nne na nusu.

Wakati huo huo, Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemhakikishia Mhe, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ataendelea kufanya kazi kubwa ya kutatua na kukamilisha miradi ya maji ambayo imekwama na kukemea tabia ya Wataalam wa maji wanaowabambikia bili na kutoa gharama kubwa za kuunganisha maji kwa wateja.

Mhe, Aweso amewahakikishia Wananchi wa Mwanza na Usagara Misungwi kupata maji kutoka chanzo cha maji cha mradi wa  Butimba ambao utasambaza maji katika maeneo ya Buswelu, Buhongwa pamoja na Usagara hadi Fella Wilayani Misungwi na Wizara imeelekeza Wakala na mamalaka za maji kutoa mipango na taarifa za maendeleo ya ujenzi wa miradi ya maij katika Mabaraza ya Madiwani ya Halmashauri ili kuweza kuweka mikakati na mipango pamoja na usimamizi bora wa miradi husika.

Mhe, Rais Samia awali ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa daraja la JPM la Kigongo – Busisi linalojengwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 699  mradi ambao hadi sasa umefikia asilimia 27 za ujenzi pamoja na kuweka Jiwe la msingi katika ujenzi wa mradi wa Reli ya kisasa (SGR) eneo la Fella kwa kipande cha tano cha kuanzia Mwanza hadi Isaka  kwa gharama ya zaidi ya shilingi trioni 3.1 hadi kukamilika..

Msanii wa Nyimbo za Bongo Peter Msechu akitoa buraudani kwa kuimba wimbo maalum kuhusu maji katika Hafla ya uzinduzi wa mradi wa maji safi na usafi wa mazingira wa mjini Misungwi uliofanyika katika tanki la maji la Masawe Mjini Misungwi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.