• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Rais Dkt Samia aahidi Kutoa Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Misungwi

Imewekwa : June 15th, 2023

Serikali kupeleka Vifaa tiba katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi kuwezesha Wananchi kupata huduma bora za Afya Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt Samia Suluhu Hassan katika ziara yake akizungumza na wananchi katika eneo la Kigongo amesema  kuwa Serikali itanunua Vifaa tiba kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Misungwi kama inavyofanya katika wilaya na maeneo mengine nchini kutekeleza mikakati ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

Hayo yamejiri jana Juni,14,2023 wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua mradi mkubwa wa Ujenzi wa daraja la JPM  la Kigongo –Busisi lenye urefu wa Kilomita 3 na barabara ungamishi kilomita 1.66 ambapo wakati akijibu ombi la Mbunge wa Jimbo la Misungwi Mhe,Alexender Mnyeti.

“Vifaa ya Wilaya vifaa vinakuja kila kinachopaswa kuwepo kitakuwepo pale,ninawashukuru wakandarasi kwa kazi kubwa wanayoifanya.”amesema Rais Samia.

Aidha Rais Samia amesema ujenzi wa daraja la JPM linalogharimu shilingi Bilioni 716 limefikia  hatua za mwisho kwani mpaka sasa ujenzi umefikia asilimia 75  huku akiwaomba wananchi wa Misungwi kuendelea kutoa ushirikano wa kutosha kwa Mkandarasi wa ujenzi na amewaonya watu wanaodokoa vifaa na mali za ujenzi wa daraja hilo.

“Daraja hili limetoa ajira kwenu na litaendelea kutoa ajira maisha yote sababu ni kituo kikubwa cha magari yanayopita kwenda nje lakini yataenda pande mbalimbali za Tanzania.”amesisitiza Rais Samia.

Akizungumzia utekelezaji wa ujenzi wa daraja la JP Magufuli  Rais Samia amewastaka vijana na watalaam wa kitanzania waliopata fursa za ajira katika mradi huo kujifunza na kupata ujuzi kutoka kwa watalaam wa kigeni ili baadaye waweze kusaidia Taifa katika utekelezaji wa miradi  mbalimbali ya aina hiyo wakati ujao.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Misungwi Mhe, Alexender Mnyeti wakati akitoa salamu kwa niaba ya wananchi  wa Misungwi ameiomba Serikali kupeleka vifaa tiba vya kutosha katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi kusaidia wananchi kupata huduma bora za afya ambapo tayri ujenzi wa Hospitali hiyo umegharimu zaidi ya shilingi Bilioni 3.5 na ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha za miradi ya Maji zaidi ya Bilioni 77 na utekelezaji unaendelea.

“Rais Samia Serikali imetupatia Wilaya ya Misungwi zaidi ya shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya miradi ya afya ,ujenzi wa Hospitali ya Wilaya imekamilika ,sasa tunaomba shilingi milioni 500 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba ili wananchi waanze kufnuaika na utekelezaji wa mradi huu “alisisitiza Mhe. Mnyeti.

Naye Mtendaji Mkuu wa Wakala wa barabara  Tanzania (TANROADS)  nchini Mhandisi Mohamed Besta amesema ujenzi wa daraja la JPM lenye urefu km 3 litakapokamilika litarahisisha usafiri kwa majira ya mwaka kwa masaa 24 na kumaliza msongamano wa magari ulikuwa unatokea kwa kutumia vivuko na kupunguza muda wa kusafiri na kuchochea wa uchumi katika ukanda wa ziwa Victoria na Taifa kwa ujumla kwani mazao ya wakulima na mazao ya samaki yataenda sokoni kwa wakati.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt Samia Suluhu Hassan akipokea taarifa ya Mradi wa ujenzi wa daraja la JPM Juni,14,2023 kutoka kwa Mhandisi  Mshauri wa mradi wa daraja la  JPM Abdulkarimu Majuto wakati akikagua daraja hilo litakalogharimu shilingi Bilioni 716 mpaka kuisha ambapo litasaidia kurahisisha usafiri pamoja na kukuza sekta ya uchumi hapa nchini.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa daraja la JPM hapo jana eneo la kigongo ambapo ujenzi wa mradi huo unatarajiwa kufika tamati Februari,2024.



Wananchi kutoka sehemu mbalimbali wakishuhudia na kumsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua Mradi mkubwa wa daraja JPM eneo la Kigongo hapo jana ambapo ujenzi wa mradi huo umefikia asilimia 75.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.