• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Naibu Waziri wa Ardhi aagiza Halmashauri ya Misungwi kupima Viwanja na kukusanya madeni ya Kodi ya Ardhi

Imewekwa : February 14th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza  yatakiwa kuongeza kasi ya kukusanya Mapato ya Kodi ya Ardhi ili kuboresha na kuinua kiwango cha Makusanyo ya mapato nchini.

Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Mendeleo ya Makazi, Mhe, Angelina Mabula alitoa agizo hilo wakati wa ziara ya kikazi aliyoifanya hivi karibuni Wilayani humo ambapo amewataka Viongozi wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanafuatilia kikamilifu Wananchi ambao hawajalipa Kodi ya Ardhi kwa muda mrefu sasa na kusababisha Serikali kukosa Mapato.

Mhe, Angelina Mabula ameagiza Menejimenti ya Halmashauri ya Misungwi kuwaandikia Kusudio la kulipa Wadaiwa Sugu wote wa Kodi ya Ardhi na kumtaka Kamishina wa Ardhi wa Kanda kufuatilia na kusimamia vizuri utekelezaji wake hata hivyo alisema atarudi tena Wilayani humo mwezi Machi 2019 na kuwaomba kutekeleza maagizo na maelekezo hayo mapema ikiwa ni pamoja na Mkakati wa Upimaji wa Viwanja kwa Wananchi ili kurasimisha Makazi.

Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe,Angelina Mabula akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Awali akitoa taarifa ya Wadaiwa Sugu wa Kodi ya Ardhi Wilayani humo Afisa Ardhi Mteule, Bi, Florida Busheni alisema kwamba takwimu zinaonyesha kuwa  zaidi ya Shilingi 114,000,000/= ( Millioni Mia moja  na Kumi na Nne tu) ni fedha za Wadaiwa Sugu ambazo ni madeni ya muda mrefu na tayari wameshawataarifu wahusika na wameandaa orodha kwa ajili ya kufikishwa Mahakamani.

Naibu Waziri Mabula, ameitaka Idara ya Ardhi na Maliasili kuhakikisha inatekeleza maelekezo ya kupima maeneo ya Ardhi ya Wananchi na kuweza kurasimisha  na kuwa na Viwanja halali vya makazi, Viwanda na biashara pamoja na kutoa Hati miliki kwa Wananchi ambao wamekamilisha taratibu zote za Mipango miji na Idara ya Ardhi ihamasishe Wananchi kupima Ardhi na hatimaye waweze kuindeleza na kuwa fursa za maeneo yaliyopimwa yatakayoweza kutumika kwa Makazi na Uwekezaji wa Viwanda vikubwa na vidogo.

Madiwani pamoja na Watendaji wa Halmashauri ya Misungwi wakimsikiliza Mhe,Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula katika Ziara aliyoifanya Wilayani humo.

Amewataka pia kuanza zoezi la kuhakiki na kutambua Viwanja vyote ambavyo havijaendelezwa kwa muda mrefu na Wamiliki ama kwa kujengwa au kuendelezwa kwa namna yoyote ile ikiwa ni pamoja na kupanda Miti, kinyume na hivyo Wamiliki hao wanyang’anywe Viwanja hivyo na kugawiwa kwa Wananchi wengine watakaoweza kuviendeleza kwa wakati na kulipa Kodi ya Ardhi .

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.