• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Naibu Waziri wa Afya ashangazwa na kupongeza Wanawake kujenga Nyumba bora Misungwi

Imewekwa : March 6th, 2021

Serikali yapongeza juhudi za Wanawake wa Kikundi cha Witogwa kujenga Nyumba bora kumi ili kuondokana na Nyumba za Nyasi na kuwa na makazi bora katika Kata ya Usagara Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza.

Naibu Waziri wa Afya, Mandeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt, Godwin Mollel  ametoa kauli hiyo wakati akizungumza  na Wanakikundi cha Witogwa  kwenye ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi aliyoifanya  hivi karibuni na kueleza kwamba Misungwi itakuwa mfano kwa Wanawake wote nchini kwa kujenga Nyumba bora ambapo Serikali itaendelea kuwapa msaada na Mikopo na kutoa ushirikiano wa karibu ili waweze kujikwamua katika maisha.

Dkt, Mollel ameshangazwa kuona akinamama wanajiunga kwenye Vikundi na kuweza kujenga Nyumba wakati maeneo mengine Nyumba bora zinajengwa na Wanaume na amefurahishwa kuona kwmba hapa Misungwi Nyumba bora sasa zinajengwa na Wanawake hivyo ni jambo zuri sana na kuwapongeza kwa jitihada na juhudi hizo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Katibu wa Kikundi cha Witogwa, Helena Masalu amesema kwamba wanakikundi wamekuwa wakisaidiana na kuweka akiba na kujenga Nyumba ambapo hadi sasa wamejenga Nyumba 10 kati ya Wanakikundi 12 wa Kikundi cha Witogwa kilichopo Kijiji cha Idetemya Kata ya Usagara.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Juma Sweda amesema kwamba kutokana nan a Akinamama kujenga Nyumba bora kwa sasa Ndoa zitadumu zaidi kwa sababu Mwanaume hawezi kuvunja Ndoa na kuacha Nyumba nzuri na Familia na ataenda wapi na kuwasihi Wanawake wote Wilayani humo kuiga nakuendelea kujenga Nyumba za makazi bora.

Naye Mkurugenzi wa Shirika lisiliokuwa la kiserikali la Kivulini Mkoani Mwanza, Yssin Ally amesema kwamba wameweza kuwapa Stadi na mafunzo kwa Wanawake kujitambua na kujiamini katika maisha ya ndoa kwa kushauriana na Waume zao namna ya kupanga na kuleta maendeleo katika familia.

Wakati huo huo Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt, Godwin Mollel katika ziara hiyo ameweza kutembelea na kukagua maendeleo mbalimbali katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ufundi Misungwi ambapo ameweza kuona namna Chuo hicho kinavyoendesha na kuweka mipango ya kuibua vipaji vya Wataaalam katika sekta ya ufundi na kuonyeshwa mikakati ya uanzishaji wa kugundua na kutengeneza baiskeli ya Mlemavu inayotumia mfumo wa solar na namna ya kutumia pumba za Mpunga katika shughuli za ujenzi.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Dkt, Godwin Mollel akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Mkoa na  Wilaya na akina mama Wanakikundi cha Witogwa kilichojenga Nyumba kumi za wanakikundi cha Witogwa Kata ya Usagara wakiwa katika Nyumba ya mmoja wa Wanakikundi  Salome Buzuka aliyejenga Nyumba na kukamilisha ambapo anasubiri kuunganishiwa na nishati ya umeme

Naibu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel (katikati) akicheza Wimbo wa Kisukuma pamoja Viongozi na Akina mama wa Kikundi cha Witogwa wakati akikagua na kuzungumza na Wanawake hao waliojenga Nyumba kumi kwa Wanakikundi ili kuondokana na makazi duni ya kuishi katika Nyumba za Nyasi katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.