• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Katambi atema Cheche atoa siku 7 kwa Mkandarasi Chuo cha Uhasibu TAA Wilayani Misungwi

Imewekwa : September 29th, 2022

Naibu Waziri Mhe,Patros Katambi atoa siku 7 kwa Mkandarasi  Chuo cha Uhasibu TAA Wilayani Misungwi mkoani Mwanza.

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu Mhe, Patros Paschal Katambi ametoa siku 7 kwa mkandarasi kutatua changamoto za wafanyakazi wa katika ujenzi wa mradi wa Chuo cha Uhasibu kilichopo kijiji cha Nyang’omango kata ya Usagara ambapo alimtaka mkandarasi CRJE kuhakikisha anatatua changamoto zinazowakibili wafanyakazi wa Chuo hicho ikiwa pamoja na kunyanyaswa kwa wafanyakazi na kucheleweshewa maslahi yao.

Hayo yamesemwa jana na Naibu Waziri alipotembelea  mradi wa  Chuo hicho cha Uhasibu wakati akisikiliza kero za changamoto zinazowakabili wafanyakazi ambapo amesema haikubaliki kuona wafanyakazi wananyanyaswa na kucheleweshewa au kutolipwa stahiki zao kwa wakati na hata mfumbia macho mtu yeyote atakaye kiuka maelekezo aliyoyatoa.

“Tusiwatumie hawa watu kama punda hawa ni bindamu na mnawaona ni vijana majabali kabisa ni wazuri  kwa ajili ya nguvu kazi ya Taifa “

Katika ziara hiyo Mhe,Naibu Waziri Kazi,vijana,Ajira na Wenye ulemavu Mhe,Katambi amesema chuo hicho kimekamilika kwa asilimia 45 na mkandarasi ameshalipwa kiasi cha bilioni 1.6 ambapo amesema mradi huo ni chachu kubwa kwa ustawi wa ajira ,vijana na kazi ndani ya mkoa wa Mwanza,taifa na ulimwengu kwa ujumla.

Kwa upande wake Afisa kazi mfawidhi Bi, Betty Mtega katika mradi wa chuo cha Uhasibu amesema kuwa hapo awali hapakuwa na mahusiano mazuri kati mkandarasi na Wafanyakazi ambapo wafanyakazi waligoma kusaini mikataba kwa sababu hawajui mwajiri wao ni nani,hata hivyo Bi,Betty amsema suala hilo limefanyiwa kazi na wafanyazi wamepewa mikataba pamoja na kulipwa mishahara kwa mujibu wa sheria.

Kwa nyakati tofauti Mhe,Naibu Waziri pia  alitembelea mradi wa Ujenzi wa  daraja la JP Magufuli lenye urefu wa kilomita 3.2 ambapo amesema ujenzi wa daraja hilo utachukua nafasi ya vivuko na kuwa kiungo muhimu kati ya mkoa wa Mwanza na nchi jirani za Rwanda ,Burundi na Uganda utasaidia kupunguza msongamano wa magari kwenye kivuko,utapunguza muda wa usafiri na kuboresha usafiri kwa umma.

Aidha amesema kuna haja ya kuwatambua vijana kwa uzalendo wao wa kufanya kazi katika miradi mbalimbali hapa nchini kwa kupelekwa vyuo ili wapate ujuzi zaidi na kupewa vyeti ikiwa pamoja na kuingizwa kwenye kanzidata ili watambulike na inapotea miradi mingine wapewe kipaumbele.

Sambamba hilo  ameonya vijana wenye tabia ya wizi na udokozi kuacha mara moja kwani kufanya hivyo watafukuzwa kazi na hivyo kukosa kipato. Badala yake wawe mabalozi wazuri na washirikiane kwa pamoja katika kufanya kazi ili kuijenga nchi yao.

Meneja NSSF mkoa wa mwanza Bw,Emmanuel Kahensa amesema kuwa ameyachukua maelekezo ya Naibu Waziri na kwamba atayafanyikia kazi ikiwemo kuwasilisha michango ya wafanyakazi kwa wakati na kufanyia kazi changamoto ambazo zimejitokeza wakati wa kazi.

Naye Rajabu Seleman mkazi wa nyang'omango amesema kwa niaba ya wafanyakazi wenzake  ameshukuru ujio wa Naibu  Waziri kwa kuja kusikiliza kero na changamoto na kupatiwa ufumbuzi,ziara hiyo imewapa imani kubwa kuwa Serikali ya awamu ya sita iko kazini,na ameahidi kuwa watafanya  kazi kwa bidii.

Naibu Waziri wa ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu mhe,Patros Katambi kushoto na kulia ni katibu Tawala wa Wilaya ya Misungwi Bw, Petro Sabato wakiongozana na mweji wa ziara hiyo katika ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa daraja la JP Magufuli hapo jana ambapo amekagua na kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi huo.

Mwonekano wa jengo la Chuo cha Uhasibu TAA ,kata ya Usagara kijiji cha nyang'omango ambapo Mradi huu umefikia asilimia 45 mpaka sasa.

Baadhi ya Wafanyakazi wa Chuo cha Uhasibu TAA wakisikiliza kwa makini na kutoa changamoto zao katika ziara ya ukaguzi wa miradi na Naibu Waziri Mhe,Patros Katambi hapo jana.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.