• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara aipongeza Halmashauri ya Misungwi kwa miradi vizuri

Imewekwa : August 12th, 2022

Naibu Katibu Mkuu wa  Chama cha  Mapinduzi  Tanzania Bara Christina Mndeme asifu na kupongeza ujenzi wa Shule ya Sekondari  ya bweni ya wasichana Mwanangwa  Wilayani Misungwi  Mkoani Mwanza.

Bi. Christina Mndeme ametoa pongezi hizo katika ziara ya kikazi katika  Halmashauri  ya Wilaya ya Misungwi  na kupongeza serikali na Wananchi kwa kuanzisha miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa  ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mwanangwa katika Kata ya Mabuki itakayokuwa na wanafunzi 160, na bweni la wasichana pamoja na maabara.

Aidha amesema kuwa eneo la  ujenzi wa Mradi wa shule ya Sekondari  hiyo lipimwe na kuwekwe mipaka liwe hati miliki ili kuondoa migogoro ambayo inaweza kujitokeza,Sambasamba na hilo amesisitiza kuwepo  na miundo mbinu ya maji,umeme na ulinzi wa kutosha ili kuwalinda wanafunzi na walimu wasivamiwe.

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe, Veronika Kessy amsema kuwa ujenzi wa Shule hiyo  utakapokamilika utaondoa adha kwa wanafunzi wa kike ya kutembea umbali mrefu Zaidi ya kilomita 6,hivyo itatatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa kike kutembea umbali mrefu  na kuwapa hamasa ya kubwa ya kujisomea.

Akitoa taaarifa kwa niaba ya kaimu mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Misungwi. Bi ,Gloria Bunane alieleza kwamba shule hiyo itagharimu Zaidi shilingi milioni 700,000,000/=ambapo ujenzi wa Shule hiyo utakuwa awamu mbili ,awamu ya kwanza itaanza na majengo 4 ambayo yatagharimu shilingi milioni 457,000,000/= likiwemo bweni moja la wasichana ,bwalo kwa ajili ya chakula na vyumba vya madarasa 4  , ofisi ya walimu pamoja na jengo la maabara lenye vyumba viwili.

Bi,Gloria Bunane amesema kuwa ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana unatarajiwa kukumilika mwezi januari 2023 na shule hiyo itapokea wanafunzi wa kike kutoka sehemu mbalimbali ya Wilaya ya Misungwi .

Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania  Bara Ndg, Christina Mndeme kushoto akisalimiana Viongozi wa  mbalimbali wa ngazi ya Misungwi wa pili kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi Mhe,Rahma Fidelis akifuatiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi Mhe, Kashinje Machibya mara baada ya kuwasili katika Mradi wa Ujenzi wa Sekondari  ya Mwanangwa.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Ndg,Christina Mndeme akishiriki kwa vitendo  katika Ujenzi wa ukuta wa jengo la bweni la wasichana Sekondari Mwanangwa  Wilayani  Misungwi

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DAS Misungwi awapongeza Watendaji Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani katika kuongeza ufanisi na ukusanyaji wa Mapato.

    April 29, 2025
  • Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yafanya ziara ya yatembelea na kupata mafunzo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya nyang'hwale Mkoani Geita

    April 25, 2025
  • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango yaridhishwa na miradi ya maendeleo ya Halmashauri Wilaya ya Misungwi

    April 23, 2025
  • Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yawataka Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa Elimu ya Shughuli za Lishe kwa Wananchi.

    February 27, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.