• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mwenge wa Uhuru wazindua na kukagua Miradi ya Maendeleo Misungwi

Imewekwa : July 8th, 2021

Vijana wa Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza waaswa kuzalisha mali kwa wingi ili kujiongezea kipato na kukuza uchumi wa familia na taifa kwa ujumla.

Akitoa wito huo mapema leo Kiongozi wa mbio  maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Luteni Josphine  Paulo Mwambashi wakati wa mbio za Mwenge wa uhuru mwaka 2021 zilizokimbizwa na kukagua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi katika miradi tisa ya Wilaya ya Misungwi.yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 1.5.

Luteni Mwambashi  amesema vijana wanapaswa kutumia fursa zilizopo  na kuongeza bidii katika kazi  na kuzingatia maadili ya na ueledi mkubwa pamoja na kujifunza sambamba na kuwajibika kikamilifu katika kujleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Amewataka Watanzania kuchukua tahadhari zote kwa kujikinga na maambukizi mapya ya COVID 19,  rushwa na madawa ya kulevya, maabukizi ya virusi vya Ukimwi na ukimwi pamoja na ugonjwa wa Malaria kwa lengo la kujenga taifa imara na lenye afya njema  kwa Wananchi.

 “ Nawaomba Wananchi mjiepushe na rushwa na muweze kuipinga vikali kwa sababu ni adui wa haki na hurudisha nyuma maendeleo endapo ikiendekezwa na kufumbiwa macho”. Ameseama Kiongozi wa mbio za Mwenge kwa msisitizo.

Amewataka pia kuzingatia matumizi bora na sahihi ya vifaa vya TEHAMA kutokana na kuwa na mchango mkubwa katika shughuli zote za uzalishaji na kukuza uchmiikiwa ni pamoja na ukusanyaji wa mapato ya Serikali kwa njia ya kielektroniki na mtandao sambamba na kukuza biashara.

Awali akiweka jiwe la msingi katika mradi wa ufugaji wa kuku katika Kijiji cha Idetemya wenye tahamani ya milioni 500 alisema amefurahishwa na kuvutiwa nan a kitendo cha Mwekezaji wa kizalendo na kuwa na imani kubwa kwamba uwekezaji huo utaleta tija kwa Wananchi kupata fursa za ajira hususan vijana waliop eneo la Wilaya ya Misungwi  ikiwemo na kuchangia mapato ya Serikali kuu na hatimaye kuchochea maendeleo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Veronica Kessy amesema mbio hizo za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Misungwi zimefanikiwa kuzindua, kukagua na kuweka jiwe la msingi katika miradi tisa ikiwemo mradi wa shughuli za kikundi cha Uvuvi, Mradi wa darasa la Komputer, mradi wa ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji, mradi wa ufugaji wa kuku, mradi wa usafiri wa Bajaji kwa Mlemavu, mradi wa maabara ya Sayansi, mradi wa ujenzi wa barabara ya Lami, mradi wa shughuli za  utafiti wa Malaria  pamoja na mradi wa ujenzi wa Wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Misungwi.

Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine Paul Mwambashi, akizindua Jengo la Wodi ya wazazi katika Hospitali ya Misungwi Mapema hii leo

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Veronica Kessy, akishika Mwenge wa Uhuru wakati wa risala ya utii kwa Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa mbio maalum za Mwenge wa Uhuru Wilayani Misungwi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.