• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mwenge wa Uhuru 2018 Kichocheo cha maendeleo katika Miradi yenye thamani ya Shilingi Billioni 2.3

Imewekwa : August 29th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi yapokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 na kuukimbizwa  na kuzindua Miradi, kuweka jiwe la Msingi, kukagua na kufungua miradi ya Maendeleo minane (8) yenye jumla ya gharama ya Shilingi 2,381,277,750/= .

Akipokea Mwenge wa Uhuru katika Kijiji cha Bujingwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe. Juma Sweda alieleza kwamba Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ambapo utakimbizwa katika maeneo mbalimbali katika Wilaya  kwa umbali wa kilomita 108.7.

 Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi umekimbizwa katika Mradi wa Kiwanda cha Gesi ya Majumbani cha Usagara chenye gharama ya  Shilingi 790,000,000, ambapo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Charles Francis Kabeho amewataka wananchi kutumia Gas ili kuweza kulinda raslimali za Misitu na kuachana na matumizi ya Mkaa na inarahisisha kazi ya mapishi.

 Kiongozi wa Mbio za Mwenge Charles Francis Kabeho  amefungua mradi wa  mtandao wa barabara ya Misungwi mjini yenye Shilingi 42,682,500, na kuwataka Wahandisi kuzingatia kanuni na taratibu katika usimamizi wa matengenezo ya barabara pamoja na kuzindua Mradi wa Bwawa la Samaki Sawenge wenye Shilingi 154,700,000.

 Miradi mingine iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru  ni pamoja na Mradi wa uhifadhi wa Maji na kisima  Mitindo wenye Shilingi 68,797,000/=  Mradi wa ujenzi wa Jengo la Kitengo cha Bima ya Afya Hospitali ya wilaya lenye thamani ya Shilingi 141,525,250, Mradi wa Shule ya Sekondari ELPAS kwa gharama ya Shilingi 1,020,000,000, Shughuli ya Utoaji wa  Mikopo  kwa Vijana, Wanawake na Walemavu Shilingi 50,000,000 na Mradi wa Maabara ya Kompyuta wa Mitindo wenye gharama ya Shilingi  113,573,000. Aidha, fedha hizo zinatokana na mchango wa Halmashauri ambazo ni shilingi 196,625,250, mchango wa Serikali kuu kiasi cha shilingi 106,282,500 pamoja na fedha za michango ya Wahisani kiasi cha shilingi 2,078,370,000/=

Mmoja wa Wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa akifurahia na Watoto wanaosoma katika Shule ya Msingi maalum ya Mitindo

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa katika maeneo ya miradi amesisitiza kuhusu ujumbe Mkuu wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2018 ambao ni  ‘’Elimu ni ufunguo wa maisha Wekeza sasa kwa maendeleo ya taifa letu” na amewataka Wananchi wote wa Wilaya ya Misungwi kupeleka watoto shule hususan katika kipindi hiki cha elimu bure na Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuhudumia elimu nchini hivyo ni vyema wakawasimamia watoto wasome vizuri kwa manufaa ya taifa kwa ujumla..                                                                                                   

Mwenge wa Uhuru utakabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Sengerema siku ya Jumatano  tarehe 29/08/2018 katika Kijiji cha Busisi na kukimbizwa katika  Halmashauri ya Sengerema na Buchosa Wilayani Sengerema.

                                                


KIongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg,Charles Francis Kabeho (Katikati) akikata Utepe kwenye mradi wa mabwawa ya Ufugaji wa Samaki Sawenge akiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi,Juma Sweda,Diwani wa Kata ya Igokelo pamoja na Wamiliki wa Mradi huo.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.