• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mvua ya upepo yaezua Madarasa na Nyumba za Walimu Shule za Sekondari na Msingi Misungwi

Imewekwa : August 5th, 2018

Mvua ya upepo  yaezua vyumba vya Madarasa na Nyumba za Walimu Shule ya Sekondari  Aimee Milembe na Shule ya  Msingi  Isuka na kusababisha hasara zaidi ya Shillingi  Millioni 15 zinazohitajika ili kurejesha Miundombinu ya Majengo hayo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari walipotembelea maeneo yaliyoathirika  Afisa Elimu Sekondari Wilaya Bi,Dianah Kuboja alisema kwamba Mvua iliyoambatana na upepo imesababisha kuezuliwa kwa vyumba vya Madarasa 4, Majengo mawili ya Maabara na vyoo vya Wanafunzi katika Shule ya Sekondari Aimee Milembe  pamoja na vyumba viwili vya Madarasa na choo cha Wanafunzi katika Shule ya Msingi Isuka Kata ya Kasololo,vilivile upepo huo uliezua Nyumba ya Mwalimu katika Shule ya Msingi Kwimwa.

                 Jengo la vyumba 2 vya Maabara vilivyoezuliwa na Mvua ya upepo katika Shule ya Sekondari Aimee Milembe..

Bi, Dianah Kuboja alieleza kuwa Halmashauri ya Wilaya inaendelea na kufanya tathmini kupitia Timu ya Maafa ili kupata takwimu halisi za uharibifu wa miundombinu uliotokea na kuweza kuweka mikakati ya madhubuti ya kurejesha haraka iwezekanavyo ambapo tathmini ya awali imeonyesha kwamba zinatakiwa zaidfi ya Shillingi Millioni 15 kwa ajili  vifaa vya kukarabati na kuezeka majengo yaliezuliwa na hatua za kuwashirikisha Wananchi zinaendelea pamoja na kufanyika kwa harambee iliyowezesha kupatikana shillingi 800,000/= katika Shule ya Sekondari Aimee Milembe.

Ametoa wito kwa Wadau mbalimbali wa maendeleo kujitokeza ili waweze kutoa msaada wa hali na mali na kunusuru maafa hayo na kuwezesha miundombinu hiyo kukamilika  kwa wakati na wanafunzi pamoja na Walimu waweze kuendelee na masomo kama kawaida. 

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi,Mhe,Juma Sweda alieleza kwa masikitiko kuhusu Maafa yaliyotokea na kusababisha kuezuliwa kwa miundombinu ya Shule za Msingi na Sekondari ambapo Madarasa na vyoo vimeezuliwa na kusababisha kero kwa Wananchi na Wanafunzi,amesema Wilaya imeweka mikakati ya kurejesha miundombinu kwa haraka baada ya kupata tathmini ya  uharibifu ya miundombinu iliyoezuliwa na amewataka Viongozi wa Kata na Vijiji kuweka utaratibu wa kurudishia baadhi ya miundombinu midogo midogo ya vyoo  na Halmashauri pamoja na Wadau wengine kuweza kurejesha miundombinu ya majengo ya mapema.

    Mkuu wa Wilaya  ya Misungwi,Mhe,Juma Sweda (Kulia) akisimamia zoezi la Harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Maafa ya Mvua ya upepo katika Shule ya Sekondari Aimee Milembe. (Kushoto)  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi,Mhe,Antony Bahebe Masele akishuhudia namna Wananchi wanavyojitolea kuchan


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.