• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mnyeti amshinda Kitwanga kura za maoni Ubunge CCM Misungwi

Imewekwa : July 21st, 2020


Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Misungwi, Jamali Babu na Viongozi wengine wa CCM  wakihakiki kura za mgombea Ubunge Alexander Mnyeti aliyepata kura 406 huku mgombea mwenyewe akishuhudia kura hizo.kwa karibu.


Mmoja wa Wagombea wa Ubunge Jimbo la Misungwi, Alexander Mnyeti (katikati) akionyesha karatasi yenye namba yake 29 kwa wapiga kura za maoni katika Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Misungwi mapema leo. 

Wajumbe 406 wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Misungwi wamchagua Alexander Mnyeti katika Uchaguzi wa  kura za maoni  kuwa mgombea wa nafasi ya Ubunge kuwakilisha Jimbo la Misungwi, Mkoani Mwanza katika Uchaguzi Mkuu ujao.

Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Misungwi, Jamal Babuu amemtangaza Alexander Mnyeti kuwa ameongoza kwa kupata jumla ya kura 406 kati ya kura 791 ya kura zote zilizopigwa na Wajumbe wa Mkutano huo, ambapo kura halali zilizopigwa ni 786 na kura 5 ziliharibika, huku wagombea wachache  42 wakipata kura zilzosalia na wengine wakiambulia kura sifuri.

Amesema kwamba Uchaguzi huo ulikuwa wa huru na haki na  awali wagombea wote 45 walipewa nafasi  sawa ya kujinadi na kueleza sera na mikakati yao mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu na baadae kura za wazi zikapigwa na kuhesabiwa hadharani na kushuhudiwa na wagombea wote.

Jamali Babu ameeleza kuwa Charles Kitwanga amepata kura 260 na kushika nafasi ya pili  ambapo Chanila David Mwakyoma akipata kura 59 na kuwa katika nafasi ya tatu kati ya wagombea wote 45 waliojitokeza kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Misungwi kupitia tikiti ya Chama cha Mapinduzi mwaka huu 2020.

Amewataka wagombea na wajumbe  wote kuwa wamoja na kuvunja makundi na kuendelea kusaidia chama ili kuweza kupata ushindi mzuri katika Uchaguzi ujao kwa kumuunga mkono mgombea atakayeteuliwa na ngazi za juu za Chama cha Mapinduzi kwa mujibu wa utaratibu na kanuni zilizowekwa kutokana na kwamba Mkutano Mkuu wa Wilaya siyo wa mwisho katika mchakato mzima wa kura za maoni ndani ya chama, na kuwashukuru wajumbe kwa kutumia haki yao.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Misungwi, Daud Gambadu amewashukuru na kuwapongeza wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Misungwi kwa kazi kubwa ya kutenda haki na kutoa maamuzi kwa kuchagua Viongozi wanaowataka na kuwaomba waende kujiandda tena kwa ajili ya Uchaguzi wa kura za maoni za Madiwani kwa ngazi ya Kata zitakazofanyika hivi karibuni, ambapo wanapaswa kutenda haki kwa kuchagua kiongozi bora.





Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.