• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mkuu wa Wilaya ya Misungwi aagiza kuundwa kwa Baraza la Wazee la Wilaya ili kupata fursa ya kujadili masula na changamoto za Wazee Wilayani humu.

Imewekwa : October 1st, 2017


Mkuu wa Wilaya ya Misungwi ameagiza kuundwa kwa Baraza la Wazee la Wilaya ili kutoa fursa kwa Wazee wote wilayani humu kuwa na Chombo kinachoweza kujadili masuala na changamoto zinazowakabili ikiwemo mambo ya upatikanaji wa huduma za Afya,masuala ya Ulinzi na Usalama pamoja ukatili na unyanyapaa unaotokea miongoni mwa jamii ya Watanzania.

Mkuu wa Wilaya,Juma Sweda aliyasema hayo wakati akiwahutubia mamia ya Wananchi walishiriki katika maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wazee Duniani iliyofanyika Kiwilaya katika Kata na Kijiji cha Koromije kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Koromije,ambapo alieleza kuhusu kuundwa kwa Baraza la Wazee la Wilaya ambalo litaundwa hivi karibuni kutokana na Wenyeviti wa mabaraza ya Wazee ya Kata yaliyokwisha kuundwa kwenye Kata zote 27 ili kuweza kuwa  na chombo kinachowasemea Wazee wote Wilayani kwenye masuala na mambo mbalimbali ya kiuchumi na kijamii.

Alieleza na kubainisha changamoto ziinazowakabili Wazee ambazo ni pamoja na Ukatili ,Unyanyasaji, Vitisho na Mauaji ya Wazee kutokana na utofauti na umbali uliopo kati ya Wazee na Vijana kwenye jamii ambapo Vijana wengi wamekuwa na tamaa na kuwa na fikra mbaya na mawazo ya kupata mali na Ardhi ya Wazee na hatimaye kutowathamini na kuamua kuwanyanyasa,kuwapa Vitisho na mara nyingine kusababisha Mauaji kwa Wazee alitoa wito wa kuendelea kutoa Elimu kuhusu amani na upendo miongoni mwa jamii ili  kuondokana na matatizo.haya.

Aliwataka Viongozi na Watendaji wa Kata na Vijiji kutoa elimu na kufuatilia na kusimamia kikamilifu masuala yanayowakabili Wazee ikiwemo masuala ya upatikanaji wa huduma za Afya na kuhakikisha Wazee wote wanapata matibabu bure na kupewa kitambulisho maalum kinachomtambulisha Mzee kuachana na masuala ya imani potofu zinazosababisha mauaji kwa Wazee,hivyo Viongozi wote wa Vijiji kuhimiza Wananchi kutoa taarifa za Siri kuhusu mambo yanayoendelea Vijijini yanayokiuka maadili na mienendo ya Watanzania yanayoleta hofu na kukosekana kwa amani kwa Wazee  na kueleza kwamba Serikali .itazifanyia kazi taarifa hizo na kuchukua hatua. 

Juma Sweda,aliwataka pia Watendaji Vijiji wakishiriana na Waganga Wafawidhi  kuhakikisha wanaanzisha na kuboresha huduma za Afya kwa kuanzisha Madirisha ya Matibabu kwa Wazee kwenye Zahanati na Vituo vyote vya kutolea huduma za Afya vilivyoko kwenye wilaya ya Misungwi ili kurahisisha utoaji huduma kwa Wazee hao.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.