• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng’wilabuzu Ludigija apongeza Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Misungwi kwa usimamizi madhubuti wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

Imewekwa : January 23rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Ng’wilabuzu Ludigija apongeza Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Misungwi kwa usimamizi madhubuti wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato ya ndani  kuishia mwezi Disemba 2024 Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza. 

Akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Misungwi Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Misungwi ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kwimba  Mhe. Ng’wilabuzu Ludigija ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi na amewataka kuhakikisha wanafikia malengo yaliodhimiwa katika kukusanya mapato ya ndani kwa kukusanya shilingi Bilioni 4.7 hadi kufikia Juni 2025 na kuwataka kuongeza ushirikiano wa dhati baina ya Madiwani na Wataalam ili fedha zisimamiwe vizuri pamoja na miradi iliyopo na iweze kuleta maendeleo  huku akisisitiza kuwa Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Taasisi za umma, Viongozi na Wataalam wote kuhakikisha wanasimamia vizuri makusanyo ya ndani na Miradi ya maendeleo kwa umakini mkubwa ili kuwaletea maendeleo Wananchi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Misungwi Mhe. Kashinje Machibya ameeleza kwamba katika kufikia malengo ya maendeleo ushirikiano wa dhati baina ya Madiwani na Wataalam umekuwa sehemu ya kufanikiwa kwa ukusanyaji wa mapato ya ndanipamojsa na miradi ya maendeleo kuishia mwezi Disemba mwaka 2023/2024 kuhakikisha kuwa wanafuata agizo la Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba Halmashauri zote nchini zikusanye mapato ya kutosha ili kukidhi mahitaji ya Wananchi.

Vile vile Mhe, Machibya ameeleza kuwa kuwepo kwa ukusanyaji mzuri wa mapato ya ndani inaashiria kuwa watendaji wanakusanya vyema na ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha kwa ajili utekelezaji wa miradi ya maendeleo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ikiwemo vituo vya Afya pamoja na ujenzi wa madarasa na miondombinu ya umeme 

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Misungwi Bw. Addo Missama amesema kwamba Menejimenti kwa kushirikiana na watendaji wa kata na vijiji wataendelea kukusanya mapato kwa bidii ili kufikia malengo waliojiwekea katika Halmashauri ili kuendelea kutatua changamoto za Wananchi kwa kuwaletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii na kuhakikisha kuwa sekta za afya, Elimu , Miondombinu ya Barabara, umeme, maji, kilimo na uvuvi Viwanda na Biashara vinaimarika kwa huduma bora.

Wakati huo huo, Diwani wa Kata ya Misasi Mhe, Daniel Busalu na Mtendaji wa Kata ya Bulemeji Bw. Habbibu Amir wameishukuru Serikali ya awamu sita kwa kuendelea kuleta fedha za miradi hususani  sekta ya Elimu pamoja na miradi ya  sekta ya maji inayotekelezwa ushirikiano na mshikamano ambao wanautoa katika kuhakikisha wanasimamia vizuri makusanyo mapato ya ndani ili kuweza kufikia malengo waliojiwekea kwa mwaka wa fedha 2024/2025 na kutoa rai kwa taasisi ya TARURA,TANESCO,RUWASA kuchukua hatua madhubuti za kuwatumikia Wananchi katika kutatua changamoto walizo nazo kwa wakati.




Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.