• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mkuu wa kitengo cha sheria ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa atoa wito kwa viongozi wa vyama mbalimbali kuzingatia sheria na kanuni zinazotolewa na ofisi ya msajili wa vyama vya Siasa.

Imewekwa : October 24th, 2024

Mkuu wa kitengo cha sheria ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa Bw. Muhidin Mapejo atoa wito kwa viongozi wa vyama mbalimbali kuzingatia sheria na kanuni zinazotolewa na ofisi ya ya msajili wa vyama vya siasa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika tarehe 24 Oktoba 2024 katika Halmashauri Wilaya ya Misungwi kilichokuwa na lengo la kuwapa elimu viomgozi wa vyama mbalimbali vya siasa na uelewa juu ya sheria kanuni na miongozo ya Ofisi ya Msajili wa vyama Taifa ambapo Bw. Muhidin Mapejo ameeleza kuwa elimu inayotolewa ni muhimu kwa viongozi hao, ili waelewe vizuri wajibu wao katika kutekeleza shughuli za chama husika na jinsi ya kujiandaa kwa uchaguzi ikiwa ni pamoja na  kufuata sheria ikiwa ni njia mojawapo ya kujenga amani na imani miongoni mwa wananchi kuhusu uchaguzi huru.

Kwa upande wake afisa uchaguzi Bw. Dickson Kawovela kwa niaba ya Msimamizi wa uchaguzi Bw. Addo Missama amewapongeza viongozi hao wa vyaama kwa kushiriki kikao hicho na kuamini kuwa watakua sehemu ya kutoa elimu walioipata kwa wagombea waliodhaminiwa na vyama hivyo katika kugombea nafasi mbalimbali ikiwemo Mwenyekiti wa kijiji au kitongoji pamoja na wajumbe wa kamati ya kijiji au kitongoji (kundi mchanganyiko la Wanaume na Wanawake) ili wawezi kufanya kampeni huru na haki zisizo na vurugu za aina yoyote ya uchochezi miongoni mwao.

Katika kikao hicho Viongozi wa vyama kutoka CCM,CHADEMA,CUF,ACT WAZALENDO walipata fursa ya kuuliza maswali na kupata ufafanuzi juu ya kanuni mbalimbali, ikiwa ni pamoja na usajili wa wagombea na taratibu za kampeni, ambapo ni fursa nzuri kwa viongozi hao kuimarisha uelewa wao na kuongeza ufanisi katika maandalizi ya uchaguzi utakaofanyika Novemba 27 Mwaka huu.

Mkuu wa kitengo cha sheria ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa Bw. Muhidin Mapejo (katikati) Msaidizi wa Usajili vyama vya siasa Zanzibari Bi. Latifa Ahmed (kushoto) afisa uchaguzi Bw. Dickson Kawovela (kulia) wakiwa katika kikao na viongozi wa vyama mbalimbali kilichofanyika jana katika Halmashauri Wilaya ya Misungwi.

Viongozi wa siasa katika kikao na Mkuu wa kitengo cha sheria ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.