• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Halmashauri ya Misungwi yatenga Eneo la Ujenzi wa Bandari Kavu

Imewekwa : March 2nd, 2017

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza limeridhia ombi la Serikali kupitia Wizara ya Ardhi la Kutenga na Kutoa Eneo la Ardhi takribani Hekari 1000 kwa ajili ya kuweka na kujenga Bandari Kavu katika Maeneo yaliyo karibu na Reli ya Wilaya ya Misungwi ili kuimarisha miundombinu ya Mawasiliano na Usafirishaji wa Shehena na Mizigo kuelekea katika maeneo mbalimbali ya ukanda wa Nchi za Maziwa Makuu.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hii,Mhe, Antony Bahebe Masele alitangaza uamuzi huo wakati wa Mkutano wa  Baraza la Madiwani lililofanyika katikati ya Wiki hii katika Ukumbi wa Kanisa Katoliki Misungwi, na kueleza kwamba Madiwani wameridhia kutenga Eneo hilo na kulitoa kwa Serikali kutoka kwa Wananchi kwa ajili ya matumizi yalikusudiwa baada ya hatua na taratibu zote kukamilika kwa kuzingatia Sheria za masuala ya Ardhi ili kuweza kukuza uchumi na kuleta Maendeleo kwa Wananchi wa Misungwi na Taifa kwa ujumla.

Mhe, Bahebe alieleza na kufafanua kuhusu umuhimu wa kutoa Eneo hilo wakati hoja ya taarifa ilipowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hii kwamba mahitaji ya eneo hilo ni ya haraka kwa ajili ya Serkali kufanya maandalizi pamoja na kutenga fedha za shughuli husika ya kutengeneza Bandari kavu itakayokuwa karibu na Reli ya kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza inayopita katika baadhi ya maeneo ya Wilaya hii nakuwaomba kupisha maamuzi sahihi kwa niaba ya Wananchi.

Awali akiwasilisha hoja hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Eliurd Mwaiteleke alisema kuwa Serkali kupitia Maelekezo na Ombi la Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Mhe Angelina Mabula aliyewasilisha taarifa ya ombi la Serikali la Kutenga Eneo lililo karibu na Reli kwa ajili ya matumizi ya shughuli za Bandari Kavu na kuomba Baraza likubali kutoa Eneo la kutosha kwa kazi hiyoambapo maeneo yanayofaa ni katika Kata ya Fella, Ukiriguru na Kanyelele. 

Baraza hilo liliridhia kutenga eneo hilo mara baada ya baadhi ya Madiwani kutoa mapendekezo ya maeneo yaliyopo katika Kata zao ambapo Diwani wa Kata ya Fella, Mhe,Paulo Kishinda alipendekeza na kuridhia kugawa baadhi ya maeneo yaliyopo katika Kijiji cha Fella na kuomba taratibu zinazotakiwa zifanyike kwa kushirikisha Wananchi wa maeneo hayo,



Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.