• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mkurugenzi wa Misungwi aagiza Kamati ya Ujenzi na Manunuzi ya Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Koromije kufanya ukamilishaji wa Majengo matano kwa kiwango na ubora

Imewekwa : August 8th, 2018

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Misungwi ,Eliurd Mwaiteleke aiagiza Kamati ya Ujenzi na Manunuzi ya Kituo cha Afya cha Koromije  kusimamia kazi ya ukamilishaji wa ujenzi wa  Majengo matano mapema na  kwa ubora na wenye kukidhi  vigezo na thamani ya fedha iliyotumika.

Akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya ujenzi na Manunuzi wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi huo mapema wiki hii Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Misungwi,Eliurd Mwaiteleke aliwapongeza wanakamati wote kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kusimamia mafundi na kuhakikisha ujenzi unaenda vizuri na kwa kiwango na ubora wa hali ya juu kwa kutumia mafundi wenyeji ambao wamejenga vizuri kwa kuzingatia maelekezo ya Wataalam.

       Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Misungwi,Eliurd Mwaiteleke,(Katikati)akizungumza na Wanakamati ya Ujenzi na Manunuzi ya Ujenzi wa Kituo cha Afya Koromije alipotembelea na kukagua maendeleo ya kazi ya ujenzi huo.

Mwaiteleke ameridhishwa na hatua ya ujenzi unavyoendelea ambapo hadi sasa wameweza kuezeka mjaengo matatu na wanatarajia ndani ya siku 3 kukamilisha kuezeka Majengo mengine mawili yaliyobaki na kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya cha Koromije alieleza kwamba hadi hatua ya kuezeka majengo hayo wameweza kutumia fedha shilingi Millioni 260, tu kati ya fedha ilitolewa shilling Millioni 500,na matarajio yao ni kubakisha fedha ambayo itawezesha kujenga majengo mengine watakayokubaliana.

                             Mafundi wa kuezeka wakiendelea na kazi ya kupaua Jengo la Wodi ya Wazazi lililojengwa  katika Kituo cha Afya cha Koromije.

Mkurugenzi Mwaiteleke,amewataka Wanakamati kuhakikisha wanaweka mikakati madhubuti ya ukamilisha wa haraka na kukamilisha ujenzi kwa kiwango na ubora mzuri kwa kuzingatia maelekezo na miongozo mbalimbali ya Serikali ya Ujenzi wa Vituo vya Afya na kuhakisha fedha ya kutosha inabaki ili iwezesha kujenga Majengo mengine na kunusuru adha ya upatikanaji wa huduma za Afya kwa Wananchi wa maeneo husika.

         Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Misungwi (Mwenye Suti ) akiambatana na Kamati ya Ujenzi na Manunuzi kukagua Majengo matano yanayoendelea kujengwa katika Kituo cha Afya cha Koromije.

Serikali kupitia Wizara ya TAMISEMI imetoa fedha shillingi Millioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa Majengo matano katika Kituo cha Afya cha Koromije kwa kutumia mafundi wenyeji (Local Fundis) na Halmashauri ya Wilaya imeweza kutekeleza maelekezo ya matumizi ya fedha za ujenzi huo ambapo tayari inaendelea na ujenzi wa Majengo matano ya Maabara, Jengo la Upasuaji, Jengo la kuhifadhia Maiti, Nyumba ya Mganga,pamoja na Jengo la Wodi ya Wazazi na matarajio ya kukamilisha ujenzi huo ni mwezi Septemba 2018.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.