• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mkurugenzi awataka Watendaji Vijijini kuwa wabunifu na Kutekeleza Miradi

Imewekwa : February 19th, 2024


Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi awahimiza Watendaji kuwa wabunifu katika Utendaji na kutekeleza Miradi ya maendeleo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mkurengenzi Mtendaji Bw.Joseph Mafuru amefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miradi ya maendeleo kwa siku mbili tarehe 17 na 18 Febuari 2024 katika Kata ya Fella,Kanyelele,Koromije na Mamaye ambapo amewataka Viongozi,Watendaji na Watumishi wa umma kuwa na nidhamu ya kazi katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku na kuongeza  ubunifu kazini ili kuleta matokeo chanya katika utekelezaji wa shughuli na Miradi ya maendeleo.

Bw.Mafuru amefafanua na kueleza kwamba kuna idadi kubwa ya Wanafunzi ambao wanafanya kazi za kuchunga mifugo,kazi za ndani, kazi za migodini pamoja na wimbi la kupata mimba kwa Watoto wa kike hivyo, kupelekea kushindwa kumaliza masomo yao, na kuwata Watendaji wa kata,Vijiji na Maafisa Maendeleo ya Jamii kwa pamoja kushirikiana na Viongozi wa Vijiji na Vitongoji kudhibiti na kukomesha tabia hiyo mbaya ambayo imejengeka katika jamii zinazowazunguka.

“Hakuna cha kisingizio kwamba mimi ni mgeni wote tutawajibika kwa matokeo mabovu kwa shule za msingi na Sekondari kwa hiyo mjiandae” alisisitiza Mkurugenzi Mtendaji Bw.Mafuru.

Amesisitiza kwamba ufaulu wa matokeo wa darasa la saba na kidato cha nne hauridhishi na hivyo kuwataka Watendaji na Walimu wote kwa pamoja kabadilika na kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake wafanye kazi kwa bidi ili kuleta madiliko yenye tija katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi.

Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mtendaji ametoa wito kwa watumishi wa umma kushirikana kwa kufanya kazi kwa bidii na kupendana ambapo Serikali ya awamu ya sita ipo tayari kuwasikiliza changamoto na kuhudumia watumishi wake katika masula mbalimbali ya kiutumishi ikiwemo upandaji wa madaraja na uhamisho na madai mengine.

Katika ziara hiyo Watendaji na Walimu wamepongeza na kushukuru kwa ujio wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwani imewapa hamasa na ari mpya  ya utendaji kazi na kuahidi kufanya kazi kwa bidii na weledi ili kuleta mabadiliko makubwa na yenye tija katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Kata,Vijiji na Watumishi mbalimbali waliofika katika kikao ambacho kilifanyika Kata ya Kanyelele siku ya Jumamosi.

Baadhi ya Watumishi wakisiliza na kupokea maelekezo ya kiutendaji katika ziara ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya kujitambulisha na kukagua Miradi ya Maendeleo katika Kata ya Kanyelele,ambapo watumishi walipata nafasi ya kuuliza maswali na changamoto zinazowakabili.

Mwonekano wa jengo la Zahati katika Kijiji cha Ibongoya A ,hali ukumilishaji  mpaka sasa uko asilimia 91 na imegharimu kiasi cha shilingi Milioni 21.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.