• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Miradi ya Maendeleo Kuendelea Kutekelezwa kwa Kiwango Bora Wilayani Misungwi

Imewekwa : November 16th, 2023

Miradi madhubuti inayotekelezwa na Serikali kupitia mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kunufaisha walengwa pamoja na jamii nzima Wilayani misungwi Mkoani Mwanza.

Hayo yamebainishwa Novemba,14,2023 na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji  TASAF Bw.Shedrack Mziray wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali akiwa amekimbatana na Wataalamu mbalimbali kutoka ngazi ya Taifa na Mkoa wa Mwanza ambapo ameridhishwa na kupongeza miradi inayoendelea kutekelezwa na Serikali kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kujenga miradi bora na yenye tija kwa kuwaletea Wananchi maendeleo.

Mziray amesema kuwa mradi wa Shule mpya ya Sekondari ya wasichana Mwanangwa upo katika hatua nzuri na unaridhisha na unaendana na thamani ya fedha ambayo inatolewa na Serikali, na kuwataka watendaji na wasimamizi kuhakikisha wanasimamia vizuri ujenzi wa Mradi huo kwani utakapokamilika utaleta manufaa makubwa kwa wananchi wa Wilaya ya misungwi na Taifa kwa ujumla.

Aidha Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF inchini amesema kuwa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali Kupitia TASAF katika kijiji cha Mwawile ,Mradi wa Lambo na Josho ni miradi muhimu ambayo inatoa ajira ya muda kwa walengwa wanufaika wa TASAF ambapo mpaka sasa fedha ambayo imetolewa ni Shilingi Milioni 66,835,417 na kutoa wito kwa watendaji na wataalamu kutumia vizuri fedha hizo vizuri ili kukamisha mradi kwa wakati.

Katika hutua nyingine Timu ya Menejimenti ya TASAF pia imefanya ziara ya kutembelea,kukagua na kuridhishwa na maendeleo mazuri ya Vikundi 5 vya Ujasiriamali vinavyotengeza  sabuni za maji ,mche na madawa vya vyooni katika kijiji cha Mapilinga Kata ya Igokelo ambapo jumla ya fedha shilingi Milioni 21,112,925,zimewanufaisha wanakikundi hao kwa kukuza vipato vyao kwa kila mtu mmoja mmoja na kaya.

Baadhi ya Miradi ya maendeleo mingine ambayo inatekelezwa na Serikali kupita TASAF katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ni pamoja na Ujenzi wa Madarasa 2, Ofisi na Matundu 6 ya vyoo katika Shule ya msingi Ntende,Nduha Ujenzi wa madarasa 2, Ofisi  na matundu 6 ya vyoo,Mwanangwa Ujenzi wa nyumba ya Mwalimu 2 in 1,na Mwagimagi,ujenzi wa madarasa 2, Ofisi na matundu 6 ya vyoo.

Naye mkazi wa kijiji cha Mapilinga Kata ya Igokelo Bi, Muyanja  Magesa akiongea kwa niaba ya wanakikundi wenzake ameishukuru Serikali ya awamu sita kwa kuwawezesha na kuwapatia mradi kupitia vikundi ambapo wamepata ujuzi wa kutengeneza sabuni ,hivyo itasidia kupata kipato cha kuweza kukidhi mahitaji katika familia zao.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji TASAF Bw. Shedrack Mziray akikagua nyaraka mbalimbali za mradi wa Josho ulipo Kijiji cha Mwawile Kata ya Nhundulu hivi karibuni

Baadhi ya Miradi inayotekelezwa na Serikali kupitia TASAF katika  Kijiji cha Mwawile 

Baadhi ya mwonekano wa madarasa ya Shule mpya ya Sekondari Mwanangwa iliyopo Kata ya Mabuki Wilayani Misungwi ambayo chanzo chake ni Fedha kutoka Serikali kuu kupitia Mfuko wa TASAF

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.