• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mbio za Mwenge 2023 zaipongeza Misungwi kwa miradi

Imewekwa : July 18th, 2023

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 zamrika na kuridhishwa na miradi mitano ya maendeleo yenye thamani ya shilingi Milioni 995  Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Misungwi  Kiongozi wa  Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 Mhe, Abdalla Shaib Kaim  ameipongeza  Wilaya ya Misungwi kwa kusimamia vizuri miradi ya maendeleo kwa ujumla na kuwataka kuendelea kuwatumikia Wananchi kikamilifu ili waweze kupata maendeleo ya kiujamii, kiuchumi na kuinua kipato cha familia.

Mhe, Abdalla Shaib Kaim amesema kuwa Kituo cha Afya cha kitawasaidia wakazi wa Misasi kwa kuwapatia huduma Wanachi hao kwani hapo awali walikuwa wakitumia muda mrefu kufuata huduma ya Mionzi Mwanza  mjini katika Hospitali ya Bugando na Sekouture hivyo itaondoa adha ya umbali.

Wakati huo huo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mhe, Kashinje Machibya amewashukuru Watumishi na Watendaji wa Halmashauri kwa kusimamia miradi na kuhakikisha inajengwa kwa kiwango na ubora na kuwataka kuongeza ushirikiano katika utekelezaji wa miradi ikiwa ni pamoja na kubuni na kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani hususan katika mradi wa ujenzi wa Vibanda 10 vya Standi ya Mabasi Misungwi ambao utagharimu shilingi Milioni 75.5 hadi kukamilika na utakuwa chachu kwa Wananchi.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo nla Misungwi Mhe,Alexender Mnyeti ameipongeza na kushukuru Serikiali ya awamu ya sita kwa kuendelea kutoa fedha za ujenzi ya miradi ya Maji ya Mbarika hadi Mbarika ambapo mapema wiki ijayo  wataanza kuona cheche za  maji  yataanza kutiririka katika maeneo ya Misasi  na kuweza kuwanufaisha Wananchi hao na kuwataka kuwa wavumilivu wakati Serikali inaendelea kuwaletea maendeleo hususan katika sekta ya barabara ya lami ya Mwanangwa hadi Salawe.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru ameeleza kwamba Miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa Jengo la Mionzi katika Kituo cha Afya cha Misasi linalotarajiwa kugharimu fedha shilingi Milioni 68.4 hadi kukamilika ambalo kwa sasa limetumia shilingi Milioni 53 ambapo litawezesha na kuwasaidia Wananchi na kuwaondolea kero za upatikanaji wa huduma za Afya  .

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Wilayani Misungwi  zimekimbizwa kwa umbali wa kilomita 90.7 na  zimekagua miradi 5 na kuridhishwa na utekelezaji wake na kuzindua, kufungua, pamoja na kuweka jiwe la msingi katika Mradi wa Ujenzi vyumba 6 vya madarasa  Shule ya Sekondari Idetemya, Mradi wa ufugaji wa Kuku wa  Mayai wa Agroberg, Mradi wa Kikundi cha cha Vijana kazi cha usafirishaji wa Abiria Ngudama –Bulemeji, Ujenzi wa Jengo la Mionzi Kituo cha Afya Misasi, na Ujenzi wa Vibanda vya Standi ya Mabasi Misungwi.


Matangazo

  • Majina ya walioitwa kwenye usaili Wasimamizi,Wasimamizi Wasaidizi na Makarani wa vituo vya Kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2025 Jimbo la Misungwi October 13, 2025
  • MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA ACSEE MWAKA 2025 July 07, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi amewataka Wananchi kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu na kuepuka kujichukulia sheria mkononi na kuendelea kutoa ushirikiano kwa Kamati ya usalma

    September 20, 2025
  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.