• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Mashine 85 za Planta Kunufaisha Wakulima Wilayani Misungwi

Imewekwa : September 8th, 2023

Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi wakabidhiwa mashine 85 aina ya Planta kwa ajili ya upandaji wa mbegu za mazao mbalimbali Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Mhe, Abdi Makange Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi amewataka wakulima kuchangamkia fursa katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha wananufaika na kutumia mvua za msimu ilikuzalisha mazao kwa tija.

Mhe,Abdi Makange Katibu Tawala Wilaya  ameyasema hayo 7,Agosti,2023 katika Ukumbi wa Halmashauri wakati wa hafla ya  kukabidhi planta 85 vilivyotolewa na mradi wa Beyond Cotton kwa ufadhili wa  nchi ya Brazil pamoja na Shirika la chakula duniani kwa kushirikiana na TARI Ukiriguru.

Aidha Mhe, Makange alieleza kwamba wakulima wa kata tatu zilizopo katika Wilaya hiyo zitaanza kunufaika na vifaa hivyo na kuahidi kutatua changamoto ya mbolea wilayani humo ili wakulima waweze kupata mazao bora.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Dkt, Chrispine Shami amesema wakulima wamekuwa wakipata changamoto wakati wa kupanda mbegu kwa kutumia  mikono hivyo kwa sasa watapanda mbegu kwa kutumia  planta ambapo zitatumika kupanda mbegu hizo kwa haraka na urahisi na kupanda eneo kubwa.

Mshauri wa mradi wa Beyond Cotton Bw, Castory Kabiki  amesema vifaa hivyo vimenunuliwa kwa Tsh, 450,000/= kila moja ambazo ni sawa na Tsh, 38.250,000/= ambapo lengo la ugawaji ni kuhakikisha vinawapunguzia gharama wakulima za kulima na upandaji wa mbegu.

Naye, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi,Mhe, Kashinje Machibya alitoa pongezi kwa upatikanaji wa vifaa hivyo kwani uwepo wa mradi wa Beyond Cotton umekuwa kipaumbele kutoka kwa Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan ambapo kwa sasa inawafikia wakulima.

Wakati huo huo Elias Mathias mkazi wa Kijiji cha Igongwa Kata ya Sumbugu kwa naiba ya wakulima wenzake ametoa shukrani za dhati ambapo alieleza kwamba vifaa hivyo vitarahisisha upandaji kwa muda mfupi na kuahidi kutoa elimu hiyo ya namna ya upandaji kwa wakulima wengine.


Katibu Tawala wa Wilaya ya Misungwi Bw,Abdi Makange akifanya jaribio la kupanda mbegu za maharage kwa kutumia mashine ya Planta jana wakati wa ugwaji wa mashine hizo Wilayani Misungwi.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Misungwi Bw,Abdi Makange akiwa ameshikana mkono na mmoja wakulima wakati wa kukabidhi mashine za Planta katika Ofisi za Halmashauri na wa pembeni kulia  ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Dkt Crispine Shami.

Baadhi wakulima wakisikiliza na kutoa maoni yao wakati wa ugawaji wa vifaa vya upandaji mbegu aina ya Planta ambapo zoezi hilo lilifanyika jana katika Ofisi za Halmashauri Wilaya ya Misungwi.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.