• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamishina wa Elimu Nchini azindua Kituo cha Upimaji Watoto wenye Ulemavu Wilayani Misungwi

Imewekwa : November 22nd, 2022

Kituo cha Uchunguzi na Upimaji wa kubaini mahitaji Maalumu ya Ujifunzaji kwa watoto wenye Ulemavu chazinduliwa katika Shule ya Msingi Maalumu ya Mitindo Wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza.

Hayo yamejiri wakati wa uzinduzi wa Kituo hicho ambapo Mkurugenzi wa Elimu Maalumu Wizara ya Elimu,Sayansi na Mafunzo ya Ufundi, Dkt ,Magreth Matonya  ambaye alimwakilisha Kamishina wa Elimu nchini kwa ajili ya Uzinduzi wa Kituo hicho ambacho kitatumika  na kubaini kiwango cha watoto wenye mahitaji maalumu ya ujifunzaji kwa watoto wenye ulemavu katika Shule ya maalumu ya Mitindo Kata ya Misungwi Wilayani humu.

Dkt, Matonya amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassani ina mikakati mikubwa yakujenga kituo kikubwa cha upimaji mkoani Dodoma  ambapo mchakato wake umeenza na kitakuwa kinatumika kupima watoto wenye mahitaji Maalumu pamoja na usambazaji  vifaa mbalimbali nchi nzima kwa ajili ya watoto wenye ulemavu wa akili,uziwi na ulemavu wa kutoona.

”Kwa Serikali kuona umuhimu wake imeanzisha vituo vya Upimaji katika ngazi za Halmashauri na leo tuko hapa Misungwi”. Alisema Dkt. Matonya.

Matonya ametoa rai kwa shule zote za serikali, binafsi na Shule za kanisa kwa Wakuu wa Shule na walimu wakuu waweze kubaini watoto wenye mahitaji maalumu na kuajiri walimu wenye sifa za kufundisha watoto hao na kuwabaini watoto  wenye changamoto ili waweze kupatiwa huduma stahiki.

Vilivile, amewataka Wazazi wenye wototo wenye mahitaji maalumu wawaruhusu watoto wao kujitokeza katika zoezi la ubainishaji na wahakikishe watoto wanabainishwa na kurejeshwa shuleni ili kupata Elimu kulinga na kiwango chao.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw,Benson Mihayo amesema Halmashauri ya Misungwi iko tayari kushirikiana na Wadau mbalimbali katika Sekta ya  Elimu na Mashirika binafsi kwa lengo kuinua kiwango cha Elimu katika Wilaya ya Misungwi, pamoja na hayo ametoa rai na kuwataka  wadau wote kuendelea kuunga mkono juhudi za maendeleo ya kielimu pamoja na kulinda miundo mbinu  iliyopo kwa ajili watoto wenye mahitaji maalumu.

Kwa upande wake Afisa Elimu Maalumu wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw. Charles Pamba amesema kuwa kuzinduliwa kwa Kituo cha uchunguzi na upimaji kwa watoto wenye mahitaji maalumu ni muhimu kwa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi na ni jukumu la walimu kuweza kutafuta njia sahihi za kumsadia mtoto katika kujifunza na kutumia zana zinazokubalika katika ujifunzaji na kusisitiza kwamba mwaka huu wamekadiria kusajili watoto zaidi ya 60  na kwa Wilaya nzima watoto wenye mahitaji maalumu wapo 615 ambao tayari wamekwisha kuandikishwa.

Naye Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Maalumu ya Mitindo Bw.Wilson Machiya amelishukuru Shirika hilo la Sense international na ADD International Foundation kwa kuweza kuanzisha Kituo cha Upimaji katika shule ya Msingi Maalumu ya Mitindo ambapo kupitia kituo hicho kitasaidi zoezi la kupima na kubainisha watoto wenye mahitaji maalumu.

Hata hivyo Bw.Machiya amesema kwepo kwa mafunzo hayo  yatasaidia upimaji na ubainishaji kwa watoto wenye mahitaji maalumu  hivyo kazi upimaji kuwa nyepesi kutoka na mafunzo waliyoyapata kutoka kwa viongozi wao.

Baadhi ya Viongozi( wa kwanza kushoto ni Kaimu DED Misungwi ,Bw.Benson Mihayo na aliyevaa koti jeusi ni Mkurugenzi wa Elimu Maalumu TAMISEMI Dkt Magreth Matonya),wakishuhudia zoezi la uzinduzi wa jengo maalumu kwa ajili ya uchunguzi na Upimaji wa watoto wenye mahitaji maalumu katika kituo cha Shule ya Msingi Mitindo hapo jana.

Baadhi ya Wawakilishi wa Vyama vya Walemavu na washiriki mbalimbali waliohudhuria uzinduzi wa kituo Maalumu cha Uchunguzi na Upimaji wa Watoto wenye Ulemavu katika Shule Maalumu ya Msingi Mitindo wakimsikiliza mgeni rasmi.

Muonekano wa Jengo maalumu litakalotumika kwa ajili ya Uchunguzi na upimaji wa Watoto wenye Mahitaji Maalumu katika Shule  maalumu ya Mitindo.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.