• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru 2022 aipongeza Misungwi kwa miradi mizuri

Imewekwa : July 14th, 2022

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2022 Sahili Geraruma ameipongeza  Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Mkoani Mwanza kwa utekelezaii mzuri wa Miradi ya maendeleo yenye  thamani ya Bilioni 3.1.

Ametoa pongezi hizo mapema jana wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2022 zikiwa  katika Halmaashauri ya wilaya ya Misungwi ambazo zilikimbizwa na wakimbiza Mwenge waliweza kukagua Miradi saba yenye thamani ya Bilioni 3.1 ambapo miradi  3 iliwekewa jiwe la msingi, na miradi 4 ilizinduliwa na yote imegawanyika  katika sekta ya elimu, Afya, barabara, Maji na uwezeshaji Wanachi kiuchumi.

Kiongozi huyo wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2022 akikagua mradi ujenzi wa Shule ya Sekondari Manawa amewataka Viongozi kusimamia kikamilifu na kuhakikisha Wataalam wanafanya marekebisho ya kasoro na  mapungufu yote yaliyobainika  ikiwa ni pamoja na kufuata na kuzingatia kanuni taratibu za ujenzi ili kukamilisha Ujenzi na kupata miradi inayokidhi  ubora na yenye viwango

Wakati huo huo aliagiza kufanyika vizuri kwa skiming pamoja kuongeza vigae kwenye vyumba vya vyoo na kushauri kuweka sawa muundo wa Kamati za ujenzi, Kamati za Manunuzi na mapokezi  kuongozwa na Wataalam  ili kuweka takwimu sahihi na utunzaji mzuri wa Nyaraka.

Wakizungumza na vyombo vya Habari  baadhi ya Wananchi wa Kata ya Misasi na wanufaika wa Shule ya Sekondari ya Manawa wameeleza na kutoa shukrani kwa Mhe, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha Milioni 470 za kujenga Sekondari ambayo itapunguza kero ya elimu iliyokuwepo kwa Wanafunzi kutembea umbali mrefu na kuzorotesha taaluma na kushauri Serikali kuweka miundombinu ya bweni katika shule hiyo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Bi. Veroika Kessy ameeleza kwamba Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2022 zitakimbizwa kwa umbali wa kilomita 75.2 ambapo utapitia na kukagua miradi 7 katika miradi hiyo mchango wa jamii ni shilingi Milioni 11.3 na Halmashauri imetoa shilingi million 16.7 ambapo Serikali kuu imechangia million 1.6 na Wahisani wamechangia shilingi million 1.5 na miradi yote imetekelezwa kwa kiwango na ubora.

Miradi hiyo iliyowekewa mawe ya Msingi na kizinduliwa ni pamoja na Ujenzi wa Shule ya Sekondari Manawa , ujenzi wa barabara ya lami  kilomita 1, ujenzi wa Kituo cha Afya Usagara ,Mradi wa ujenzi wa Chuo cha Afya MacWish, Ujenzi wa miundombinu ya usambazaji Maji Fella, Ujenzi wa madarasa 8 katika shule ya Sekondari Sanjo na Mradi wa Kikundi cha Vijana cha usafi  wa mazingira na usafirishaji mizigo .

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.