• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Katibu Tawala Mwanza awataka Watumishi kuwajibika na kutatua migogoro Misungwi

Imewekwa : August 27th, 2020


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Emmanuel Tutuba akiakagua mradi wa Ujenzi wa Jengo la ofisi za Halmashauri Wiaya ya Misu ngwi, akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Kisena Mabuba pamoja na Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi, Petro Sabattona baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo.

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Mkoani Mwanza waagizwa kuwajibika na kutatua migogoro na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika utekelezaji wa shughuli za miradi ya maendeleo  inayotekelezwa Wilayani Misungwi.

Wito huo umetolewa  na Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Emmanuel Tutuba wakati akizungumza  jana katika kikao na baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jengo jipya la Halmashauri.

Alisema kwamba ni muhimu sana kwa Watumishi wa umma kuwajibika katika majukumu na kuushauri uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kuweka utamaduni na utaratibu wa kufanya vikao na kukutana mara kwa mara kwa Watumishi kujadili mada na kutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika maeneo ya  utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa fedha za Serikali, wadau na michango ya Wananchi.

Bw, Tutuba amewataka pia Watumishi kupitia Idara na sekta mbalimbali zikiwemo sekta ya Ardhi, maendeleo ya jamii, Kilimo, na manunuzi na Ugavi kuhamasisha na kusimamia sheria na taratibu na kuzingatia utawala bora pamoja na kutatua na kutoa ufumbuzi wa migogoro inayojitokeza katika utendaji kazi kwa ajili ya kuleta tija na maendeleo ya dhati kwa Wananchi.

Amewataka Watumishi kujiepusha  na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii katika kufanya mawasiliano baina yao pamoja na Wananchi ili kuepuka  na kuondokana migogoro ya ndani na nje ya ofisi, badala yake wajitambue na kutumia madaraka na mamlaka yao vizuri kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni na kuwa mfano katika jamii kupitia tabia, utendaji kazi na mienendo ya kila siku.

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi, Petro Sabatto alimpongeza Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza kwa maamuzi na mikakati ya kutembelea katika Halmashauri za Mkoa wa Mwanza na kufanya vikao na Watumishi wa umma kwa lengo la kutoa uzoefu, kutatua na kupata ufumbuzi wa masuala na miradi mbalimbali inayotekelezwa na kuwezesha Watumishi kubadilisha mawazo na fikra ili kuimarisha  na kuboresha utendaji kazi.

Awali Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza pamoja Viongozi na  baadhi ya Wakuu  wa Idara walifanya ukaguzi na kutembelea miradi ya maendeleo ya sekta ya Afya na utawala ambayo ni mradi wa ujenzi wa majengo mawili ya maabara na jengo la Wagonjwa wan je (opd) unaondelea kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Misungwi ambapo ameridhishwa na hatua ya ujenzi huo na kuwataka kuongeza kasi zaidi ili ukamilike kwa wakati.

Wakati huo huo pia amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ambao kiujumla umefikia asilimia hamsini za utekelezaji na kuridhishwa  na maendeleo ya Mkandarasi anayejenga mradi huo ambaye ni Wakala wa Majengo Tanzania sambamba na usimamazi wa wahandisi na wataalam wa Halmashauri.


Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.