• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kassim Majaliwa aahidi Neema ya Maji na barabara Misungwi

Imewekwa : September 25th, 2020

Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa Majaliwa amewaahidi  Wananchi wa Jimbo la Misungwi kuendelea kuimarisha na kuleta neema katika Sekta ya maji, pamoja na miumdombinu ya barabara Wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza.

Mhe, Kassim Majaliwa ametoa ahadi hizo kwa Wananchi wa Wilaya ya Misungwi wakati akinadi Sera na Ilani ya  uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi katika Viwanja vya Amani katika mwendelezo wa Kampeni za kuomba kura za mgombea Urais, Ubunge na Udiwani kupitia CCM, na kuwataka Wananchi hao kuwa makini na kuchagua Viongozi wanaofaa na wanaoweza kuwaletea maendeleo ya dhati.

Mhe, Majaliwa alisema kwamba Serikali ya awamu ya tano katika kipindi cha miaka mitano imeleta fedha nyingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kuanzia mwaka 2015, na fedha hizo zimetekeleza miradi ya sekta mbalimbali ikiwemo miradi ya maji, Kituo cha Afya na Mradi wa Hospitali na miradi ya miundombinu ya barabara za lami mjini Misungwi, “ wakati huo huo ameahidi kushughuikia suala la upungufu wa pampu ya kusukuma maji katika mradi wa Maji wa Nyahiti –Misungwi, ambapo amemtaka Mbunge Mteule wa Jimbo la Misungwi mara baada ya kuapishwa Bungeni aanze kulitatua kwa haraka  ili Wanannchi wapate maji ya kutosha”, alisisitiza Mhe, Majaliwa.

Naye Mbunge Mteule wa Jimbo la Misungwi, Alexander Mnyeti amewahakikishia Wananchi wa Jimbo hilo kumwamini na kuwaahidi kuchapa kazi kwa kasi na kuwatumikia kikamilifu kwa kuibadilisha Wilaya ya Misungwi kwa kuwaletea maendeleo zaidi kupitia sekta ya Afya, Elimu, Maji na miundombinu ya barabara pamoja na kuondoa kero mbalimbali zinazokwamisha maendeleo, na kuwaomba Wananchi wote kwa pamoja mwezi oktoba mwaka huu 2020 kumchagua Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt, John Pombe Magufuli ili aendelee kuwaletea Wananchi maendeleo makubwa kwa miaka mitano tena.


Mhe Kassim Majaliwa , Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Taifa akisalimiana na Viongozi wa ngazi ya Wilaya akiwemo Katibu wa CCM Wilaya Latifa Malimi (kulia )

Awali Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Misungwi, Daud Gambadu wakati akitoa salamu na kumkaribisha Mhe, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa katika Jimbo la Misungwi na kumwahidi kwamba Wananchi wa Wilaya ya Misungwi wameamua na wana jambo lao tarehe 28 oktoba mwaka huu ambalo ni kumchagua kwa kura zote Dkt, John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano sambamba na Mbunge na Madiwani wote  wa Kata 27 wa CCM ambao wamepita bila kupingwa.

Mhe, Kassim Majaliwa Majaliwa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, akiteta jambo na Mbunge Mteule wa Jimbo la Misungwi, ALexander Mnyeti (kulia) wakati wa kunadi Sera na Ilani ya CCM Viwanja vya Amani Wilayani Misungwi.

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.