• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Usalama Wilaya yaridhishwa na Miradi ya Sekta ya Elimu Misungwi

Imewekwa : February 23rd, 2024

Kamati ya Ulinzi na Usalama yawataka Wazazi kuhakikisha Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari wanapata Chakula wakati wa shule  Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.

Wito huo umetolewa na Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi wakati wa ziara ya ukaguzi wa Miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na mabweni yaliyokamilika Wilaya ya Misungwi.

Bw. Makange amefafanua kwamba Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo na Wilaya ya Misungwi ilipatiwa Bilioni 1.8 amabazo zimetekeleza miradi ya ujenzi wa madarasa, majengo ya utawala, majengo ya TEHAMA katika shule za Msingi za Mwabebea, Shilabela, Iteja pamoja na ujenzi wa Mabweni 2 katika Shule ya Sekondari za Mwambola na Misungwi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Joseph Mafuru ameeleza kwamba pamoja na watendaji watahakikisha wanasimamia na kuitunza miundombinu kikamilifu pamoja na Miradi yote ambayo inatekelezwa na Serikali kukamilika kwa wakati ili iwe manufaa kwa Wananchi na Taifa kwa ujumla.

Naye, Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi ametoa rai kwa Viongozi na Watendaji kuendelea kutoa elimu na hamasa kwa Wananchi na Wazazi kuendelea kuchangia chakula shuleni ili wanafunzi waweze kupata mlo kamili wawopo shuleni.

Bi.Kuboja amefafanua kwamba wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza ni 8238 na walioripoti mpaka sasa ni wanafunzi 7161 ambayo ni sawa na asilimia 86.5 na kufikia 28,Februari Mwaka huu wanafunzi wote watakuwa wameripoti shuleni,na kutoa wito kwa wazazi na walezi kuhamasisha Watoto kuripoti shuleni kwa wakati.

Wakati huo huo, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Shilabela Bw. Twaha Hussen ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya maendeleo ambapo mpaka sasa Serikali imejenga shule mpya ya Msingi Shilabela ambayo  imechukua wanafunzi zaidi 1000 kutoka shule ya Msingi Mbela ambayo ndiyo shule mama na hivyo kupunguza msongamano kwa wanafunzi.

Erine Bosco ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha tano katika shule ya Sekondari Misungwi ameishukuru Serikali kwa kuwajenga shule nzuri yenye mazingira mazuri ya kujifunzia na kuiomba Serikali ilete fedha kwa ajili ya kujenga uzio katika shule hiyo. 

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO ZABUNI UPANGISHAJI VIBANDA VYA HALMASHAURI MWAKA 2023/2024 June 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 20, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI NA MADIWANI KATIKA KATA SITA ZA TANZANIA August 10, 2023
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.