• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Raslimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Maeneo ya Vivutio vya Utalii
    • Maeneo ya Kilimo
    • Maeneo ya Madini
    • Maeneo ya Uwekezaji wa Mazingira
  • Huduma Zetu
    • Huduma Sekta ya Afya
    • Huduma Sekta ya Elimu
    • Huduma Sekta ya Maji
    • Huduma Sekta ya Mazingira
    • Huduma Sekta ya Maendeleo ya Jamii
    • Huduma Sekta ya Ardhi na Maliasili
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Huduma za Kijamii
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba Vikao vya Halmashauri
  • Miradi mbalimbali
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sheria Mbalimbali
    • Taratibu
    • Gazeti la Serikali
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Video Mpya
    • Maktaba ya Picha
    • Habari Mpya

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Misungwi yaridhishwa na kupongeza Utekelezaji wa Miradi ya Halmashauri.

Imewekwa : May 7th, 2018

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi  (CCM) Wilaya ya Misungwi imefurahishwa na kuridhishwa na Utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo inayoendelea kujengwa katika Halmashauri ya Misungwi kwa kutekelezwa kwa  kuzingatia na kufuata  kiwango na ubora .

Akizungumza katika Ziara ya Kamati hiyo iliyofanyika hivi karibuni,Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya,Daudi Gambadu alisema, Kamati kwa ujumla imeridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya CCM ambayo inatekelezwa na Serikali ya awamu nya tano na kuipongeza Menejimenti ya Halmashauri kwa kusimamia kikamilifu utekelezaji wa shughuli za miradi ambayo imeanishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2015 - 2020.

Alieleza kwamba Kamati imeona namna Ilani ya CCM inavyotekelezwa na Serikali na wameridhika kwamba shughuli zinatekelezwa vizuri ikiwemo miradi ya maij,Sekta ya Afya ,na Sekta ya Elimu ambayo inaendelea kujengwa kikamilifu na Watendaji kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya kwa usimamizi na ufuatiliaji wake mzuri uliowezesha miradi kuwa imara na yenye ubora.

  Jengo la Zahanati ya Kijiji cha Ngeleka lililojengwa kwa Ufadhili wa Mdau wa Maendeleo James Ngelela.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Wilaya ya Misungwi, Daudi Gambadu alieleza kwamba kwa ujumla miradi yote iliyotembelewa na Kamati hiyo imetekelezwa kwa kiwango na ubora na imezingatia taratibu za ujenzi na kuipongeza Menejimenti kwa kusimamia miradi vizuri na kuwataka kuendelea kutekeleza kikamilifu na kukamilisha miradi ambayo haijakamilika kwa wakati na ubora zaidi ikiwa ni kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM.

           Jengo la Upasuaji linalojengwa katika Kituo cha Afya cha Mbarika 

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda aliwataka Watendaji wa Halmashauri kuendelea kutekeleza Ilani ya CCM kwa kila Sekta ili kuweza kuwapatia Wananchi maendeleo ya dhati na kunufaika na raslimali za nchi kwa taifa la Tanzania,

Alisema Miradi inayotekelezwa ni pamoja na MIradi ya Maji ambao ni wa  Ngaya -Mbarika unaoendelea kutekelezwa na utaweza kutoa huduma ya maji kwa Wakazi wengi wa Kata ya Mbarika hadi Sumbugu na pia Mradi wa Afya wa ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Kituo cha Afya cha Mbarika.

Mkuu wa Wilaya Juma Sweda amewataka Wananchi kuitunza na kuilinda Miradi hiyo mara itakapokamilika ili iweze kudumu na kuwanufaisha na kuweza kupata maendeleo ya Kiuchumi na kijamiii na kuondoa umasikini kwa Watanzania.

Akielezea kuhusu utekelezaji wa miradi hiyo,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmasahuri ya Misungwi,Eliurd Mwaiteleke alisema kwamba Menejimenti imeweza kusimamia miradi hiyo na kueleza kuwa jukumu la Watendaji wote Serikalini ni kufanya kazi kwa weledi na kuwajibika kwa kila nyanja ili kuweza kuwaletea Wananchi maendeleo kupitia miradi mbalimbali ikwemo Sekta ya Afya ,Elimu na Sekta zingine za miundombinu ya barabara na maji. 

         Mradi wa ujenzi wa Jengo la Wodi ya Wazazi linalojengwa katika Kituo cha Afya cha Misasi.kwa nguvu za Wananchi,Wadau na Ufadhili wa Serikali ya Irelend .

Matangazo

  • SHULE ZILIZOVUNJA REKODI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2024 February 01, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA LA UCHAGUZI MKUU 2025 TANZANIA July 05, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA, UCHAGUZI MKUU 2025 TANZANIA July 05, 2025
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA, UCHAGUZI MKUU 2025 TANZANIA July 05, 2025
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • DC Misungwi awataka Wananchi wa Kijiji cha Ibinza kata ya Isenengeja kudumisha amani na mshikamano.

    May 22, 2025
  • DC Misungwi akabidhi Vifaa saidizi vya Vitimwendo 15, Jezi na Mipira kwa Wanafunzi na Watoto wenye ulemavu kukwa Shule za msingi 16.

    May 21, 2025
  • Misungwi yapongeza kwa upatikanaji wa Mitambo ya kuondoa magugu maji itakayowasili mwishoni mwa mwezi julai 2025

    May 19, 2025
  • DC Misungwi awapongeza Waalimu wa Shule za Sekondari kwa ufaulu wa Asilimia 99.75

    May 16, 2025
  • Angalia yote

Video

Uzinduzi wa Tovuti za Mikoa pamoja na Halmashauri
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za wanafunzi kitaifa
  • Taarifa
  • Kujisajili chama cha Mapinduzi-ccm
  • MFUMO WA UJAZAJI MATAMKO KWA NJIA YA MTANDAO
  • KUPATA KIUNGANISHI CHA MFUMO WA TAARIFA ZA SHULE-SIS
  • Historia ya Halmashauri
  • Sheria Mbalimbali
  • Wasiliana Nasi
  • Malalamiko

Viunganishi Linganishi

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tamisemi
  • Mwanza Region
  • Wakala wa Serikali Mtandao (Ega)

Ramani ya Wasomaji

world map hits counter

Wasomaji

freevisitorcounters's Website

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Misungwi

    Sanduku la Posta: P.O Box 20 MISUNGWI

    Simu ya Mezani: +255282983268

    Simu ya Mkononi: 0717259106

    Barua Pepe: ded@misungwidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2021 Misungwi District Council . All rights reserved.